ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,417
- 9,604
Wapatikane ili iweje wakati kuna ccm wanasema haya matukio ni kawaidaTatizo watuhumiwa hua hawapatikani? Kwanini haya matukio hujirudia rudia kila mara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapatikane ili iweje wakati kuna ccm wanasema haya matukio ni kawaidaTatizo watuhumiwa hua hawapatikani? Kwanini haya matukio hujirudia rudia kila mara?
Duu awamu hii kazi tunayo
UNATUULIZA SISI TENA?Tatizo watuhumiwa hua hawapatikani? Kwanini haya matukio hujirudia rudia kila mara?
Wewe unaweza kumuua mtu anayemchukua mke wako ?Duuuhhh itakuwa kati ya kisasi cha biashara au mambo ya kuchukuliana wanawake lazima.. Mmmmmhh
Kwa hiyo tuzini na wake za punda ama nn mkuuTuache kuzini na wake za watu, kuna watu ni wapole kwa macho lakini ndani ni mafia wakutisha.
Wewe ulitaka nimuulize nani?UNATUULIZA SISI TENA?
Ndugu wa. marehemuWewe ulitaka nimuulize nani?
Dar kuna Gesti inaitwa NYANTARE. umenikumbusha kitu. AsanteGari yake imekutwa imeteketea kwa moto upande wa pili wa hifadhi ya Serengeti kama unaelekea ziwani panaitwa Nyantarwe na sio kweli gari limekutwa ndani ya hifadhi ya Serengeti
Kwani wahalifu hua wanatoa taarifa kwa nani kabla,wakati na baada ya tukio?Toa taarifa pahalahusika iwapo unawafahamu.Tatizo watuhumiwa hua hawapatikani? Kwanini haya matukio hujirudia rudia kila mara?
Hukumuelewa otherwise ulichosema hapa ni ushabiki tuMwigulu nchemba alisema hao wanaokufa ni wa inchi jirani.
R.I.P
Una mtindio wa ubongoAtakuwa sio mtanzania by Mwigulu Nchemba
Pete ya bahatiCc mshana jr hyo pete ina kazi gani