Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti

Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti

Kwani hilo eneo anakopeleka mabasi yake yuko Yule tajiri wa mabasi ya Zacharia? km hiyo barabara inayo hayo mabasi mmmmmh
MBONA wengi tu wanapeleka njia ile sie yeye tu toka zamani tu.
 
Acha uzwazwa wewe... hata hili unataka kuhusisha awamu?

vipi mauaji ya bilionea msuya na matajiri wengine wa Arusha yalitokea awamu hii
?

hawa matajiri waacheni hivyohivyo wanaishi kwenye dunia yao na wanayofanya kwenye hiyo dunia yao wanayajua wenyewe na wengi huo ndio huwa mwisho wao

eti awamu hii.... KENGE MMOJA WEWE mnakera sana nyie ZERO BRAIN mnaojikuta great thinkers
Kama imekuuma chomoa!

Ndio! Awamu hii hakuna aliye salama kwasabab polisi wako bize na Mange, wanasahau majukumu yao ya kulinda raia na mali zao! Sasa mtu akifa tuseme nini kama sio "awamu hii"?

Sometimes zero brains(you say) think greater than your imaginations!
 
Mbele yake Nyuma yetu.

Ni Habari ya kusikitisha sana
 
Acha uzwazwa wewe... hata hili unataka kuhusisha awamu?

vipi mauaji ya bilionea msuya na matajiri wengine wa Arusha yalitokea awamu hii
?

hawa matajiri waacheni hivyohivyo wanaishi kwenye dunia yao na wanayofanya kwenye hiyo dunia yao wanayajua wenyewe na wengi huo ndio huwa mwisho wao

eti awamu hii.... KENGE MMOJA WEWE mnakera sana nyie ZERO BRAIN mnaojikuta great thinkers
Mauaji ya msuya yana zaidi ya miaka 4...ila awamu hii kuna mauaji mengi ya ajabuajabu mara maiti kwenye viroba,kupigwa risasi tl halafu police mpka leo hawana jibu la hayo matukio
 
Back
Top Bottom