Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kama ni kifo cha haki sawa ila kama ni kifo cha dhuluma roho haitatulia mpaka ilipe kisasiMuumba atampokea mja wake na kimuweka kwenye makazi stahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kifo cha haki sawa ila kama ni kifo cha dhuluma roho haitatulia mpaka ilipe kisasiMuumba atampokea mja wake na kimuweka kwenye makazi stahili.
Nafsi yake ni shahidi zaidi, sisi hatuna budi kumuombea japo matendo yake ndio yana nguvu zaidi ya Dua zetuKama ni kifo cha haki sawa ila kama ni kifo cha dhuluma roho haitatulia mpaka ilipe kisasi
AaamenNafsi yake ni shahidi zaidi, sisi hatuna budi kumuombea japo matendo yake ndio yana nguvu zaidi ya Dua zetu
we bila shika hujawah kufaulu mitihanj! ni wapi hapo kwenye post wamesema gari limechomwa kwenye hifadhi? au unafikiri mtu akisema Serengeti basi eneo lote la wilaya ni mbuga?Gari lichomwe ad kuteketea tena kwenye hifadhi bila askar Wa wanyama pori kugundua wala kutouona moshi!?
Alafu wanajisifu kwa kupambana na majangili.
Mungu hailaze mahali pema roho ya marehem.
Mwambie pia ni Hii si Iyi.Wahuni sio wauni
Mwili wake haujapatikana hadi sasa,ndugu wa karibu na vyombo vya usalama ndiyo wametoka kwenye mbuga za Serengeti kumutafuta na hawajapa mwili wake endeleeni kutafuta habari za uhakika zaidi
Ni kweli maana t9t ni kubwa kuliko ng'ombe,zisijeisha.Kwasasa ngoja tujenge kuta kuzunguka machimbo kwanza
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kweli maana t9t ni kubwa kuliko ng'ombe,zisijeisha.
damu yake itamlilia Mungu kama Kain alivyouwa damu yake ilimlilia munguView attachment 708766View attachment 708767![]()
View attachment 708768
Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami Ltd amefariki.
Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
Wadau wa mabasi wamesikitishwa sana na kukemea tukio hili.
Pia kwenye post amna mahali wamesema gari lemechomewa kwenye makazi ya watu au kutaja eneowe bila shika hujawah kufaulu mitihanj! ni wapi hapo kwenye post wamesema gari limechomwa kwenye hifadhi? au unafikiri mtu akisema Serengeti basi eneo lote la wilaya ni mbuga?
Nimesomaasehemu hiihabari kunamkudhulumiana hapokati marehemu pekee ndiemwenye kuja aeleze ukwelihalisiView attachment 708766View attachment 708767![]()
View attachment 708768
Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami Ltd amefariki.
Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
Wadau wa mabasi wamesikitishwa sana na kukemea tukio hili.
Ww hujaguswa na hili tukio?Duh pole sana kwa wale wanaoguswa na tukio hili/hilo.
mbona habari inasema ameuwawa na gari kuchomwa moto??Mwili wake haujapatikana hadi sasa,ndugu wa karibu na vyombo vya usalama ndiyo wametoka kwenye mbuga za Serengeti kumutafuta na hawajapa mwili wake endeleeni kutafuta habari za uhakika zaidi