Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
hivi huko serenget kuna nn sikuhiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serengeti ni Kubwa sana kiongozi.Upande wa kasini imepakaba na singida,upande wa kaskazini imepakana na Kenya ,mshariki imeingia hadi mkoa wa arusha,magharibi imepakana na ziwa VictoriaSerengeti eneo lipi sasa!! Maana kama ni porini eneo lipi maana pori la Serengeti ni kubwa sanaaa
Kwani alikuwa na tabia za kuwazunguka wenzie,Iyi itakuwa ni mambo ya kibiashara kawazunguka wahuni nao wauni wamemzunguka mara 3 zaidi..
Kwani alikuwa chama gani,Kwa uzoefu wa wasiojulikana uwafuata waimbao nyimbo mbovu zenye kuwasha masikioni, ukiimba nyimbo za kusifu na kuabudu huna madhara kwao.Watu wasiojulikana hao.
Hii ndio TZ ya sasa. Mtu wiki mbili hapatikani kisha maafa ju yake
Ngoja nicheki familia yakee watatoa feedbackKwani alikuwa na tabia za kuwazunguka wenzie,
Ficha upumbavu wako.Duu awamu hii kazi tunayo
First speculation DHULUMAView attachment 708766View attachment 708767![]()
View attachment 708768
Samson Josiah maarufu kama Super Sami au mmiliki wa mabasi ya Super Sami Ltd amefariki.
Ni baada takribani wiki mbili zilizopita alikuwa hapatikani hewani wala kujulikana alipo. Amekutwa amekufa Serengeti na gari lake limechomwa moto.
Wadau wa mabasi wamesikitishwa sana na kukemea tukio hili.
Mkuu unaijua familia yake? ameacha watoto wangapi?Ngoja nicheki familia yakee watatoa feedback
Kwa technology ya wenzetu kupitia satellite ni dakika,hata ishu ya lisu ingekuwa sekunde,wanatrack Kwa msaada wa satellite, hio gari kama alifunga vifaa vya kunasa sauti na picha ni rahisi sana wakienda kwenye serva itawaonyesha wahusika wote. Fungeni mifumo ya satellite kwenye Magari yenu inasaidia sana kuwapata wasiojulikana.Huko hamna sattelait wauwaji wakamatwe? rip
Mm namjua mtoto wake kipenzi aliyekuwa msamimiz mkuu nae alisha fariki km 2016 hv ..na ndio nilikuwa na ukaribu nae ..adi kufika kwake zaidi ..Mkuu unaijua familia yake? ameacha watoto wangapi?
Kwasasa ngoja tujenge kuta kuzunguka machimbo kwanzaKwa technology ya wenzetu kupitia satellite ni dakika,hata ishu ya lisu ingekuwa sekunde,wanatrack Kwa msaada wa satellite, hio gari kama alifunga vifaa vya kunasa sauti na picha ni rahisi sana wakienda kwenye serva itawaonyesha wahusika wote. Fungeni mifumo ya satellite kwenye Magari yenu inasaidia sana kuwapata wasiojulikana.
Intelijensia yetu haijajielekeza zaidi huku tuko kwingine kwepesi kabisaTatizo watuhumiwa hua hawapatikani? Kwanini haya matukio hujirudia rudia kila mara?
Muumba atampokea mja wake na kumuweka kwenye makazi stahili.Hatari sana aisee. Apumzike kwa amani