Mmiliki wa mabasi ya Super Sami atoweka, gari lake lachomwa moto Serengeti


Nahisi itakua ni ushindani wa kibiashara, ugomvi wa familia au uhasama na watu binafsi tofauti na biashara na familia. Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi amina.
 
Halafu hiyo inaonekana kabisa ni Nissan patrol nyie mnaita Toyota landcruiser?
 
Wamemuwa kikatili sana
Ngoja tusubiri uchunguzi Wa polisi utasemaje!

Ova
 
Mambo haya yalianza kidogo kidogo lakini kwa sasa yanataka kuwa sehemu ya maisha yetu
 
Tz bado tuko nyuma sana kwenye Forensic Investigations. Tumerely kwenye uchunguzi wa kuhoji mashuhuda na kupekua simu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…