Mmiliki wa PSG asema Dunia haitendi haki kwa Qatar

Mmiliki wa PSG asema Dunia haitendi haki kwa Qatar

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Nasser Al-Khelafi amesema kuwa vyombo vya habari haitendi haki kwa jinsi vinavyotoa taarifa hasi kuhusu Qatar ambao ni wenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia 2022.

Qatar imekosolewa na vyombo vya habari hasa vya Magharibi kuhusu masuala ya haki za binadamu, kupinga mapenzi ya jinsia moja na wakidaiwa kuwanyanyasa vibarua wageni.

Al-Khelafi amesema “Inawezekana kweli Qatar hatupo sahihi kwa kila kitu lakini tunajaribu kadiri ya uwezo wetu na tunahudumia watu vizuri.”


==================
'The world has been so UNFAIR on Qatar': PSG's Qatari president Nasser Al-Khelaifi slams 'really negative' coverage of the World Cup amid controversy over his home country's human rights record

Nasser Al-Khelafi, the Qatari president of Paris Saint-Germain, has accused the media of being 'unfair' and 'negative' in their coverage of Qatar as it hosts the World Cup.

Qatar has come under fire for its human rights record in recent weeks, with protests taking place against the country's stance on LGBTQ+ rights and its treatment of migrant workers.

The government claims three migrant workers have died from accidents while working on construction for the World Cup, but it is believed the number could be as high as 6,500.

Al-Khelafi felt the negative coverage of his country has been uncalled for, as he explained to TalkSPORT: 'The world has been so unfair on Qatar. If people come and see what Qatar is, what Qatari people are like, what we do in our country, of course we are not perfect, but we're doing our best.

'We are good people. We treat people with our hearts. The media has been really negative, and it's not fair it all.'

The latest controversy in Qatar has come from the One Love armbands that nine European captains had planned to wear during the tournament.

They were intended to be a gesture promoting inclusivity in a country that outlaws same sex marriage, but players have now backed down after being threatened with yellow cards for breaching FIFA's equipment rules.

A statement from the FA read: 'We have asked the captains not to attempt to wear the armband in FIFA World Cup games.

'We cannot put our players in a situation where they might be booked or even forced to leave the field of play.'
 
Mbona PSG walivaa uzi wenye upinde na hakufanya chochote? Binadamu ni wanafiki sana.

Mimi nasema mashoga na wasagaji wasibugudhiwe iwapo mambo yao wanayafanya huko vyumbani mwao ila wakijitangaza hadharani basi ikiwezekana wachomwe kwa petroli live bila chenga.
 
Mbona PSG walivaa uzi wenye upinde na hakufanya chochote? Binadamu ni wanafiki sana.

Mimi nasema mashoga na wasagaji wasibugudhiwe iwapo mambo yao wanayafanya huko vyumbani mwao ila wakijitangaza hadharani basi ikiwezekana wachomwe kwa petroli live bila chenga.
Ukiweka ka picha itakua vzuri zaidi, sio wote waliiona.
 
Kupromote na kutetea mashoga ni haki za binadamu ila kukataa mashoga ndio sio haki za binadamu
 
Ukiweka ka picha itakua vzuri zaidi, sio wote waliiona.
images.jpeg
 
Waarabu wanapinga, wazungu wanashangilia, kweli wazungu si watu wazuri, wamewamaliza jamaa zetu hapa wanaoana wenyewe kwa wenyewe bila kulazimishwa sasa wanataka kwenda kumaliza jamii nyingine
Washenzi mafasiki wakubwa wakadumu kwenye jehannamu
 
Ibilisi alidhani angepeleka agenda ya ushoga katika nchi ya waislamu, amekuwa dissapointed!

Uislamu ndiyo adui mkuu wa Ibilisi na Jeshi lake
Kwa kuwa yeye ni adui basi na waislamu wameambiwa wamfanye adui Kama afanyavo uadui na wawe na tahadhari nae sana kwani yeye muda wote huamrisha maovu tu
Kwa kweli ni adui wa wazi kabisa
 
Waarabu kweli hawapendi mashoga ila nya za wake zao wanazisugua kama hawana akili vile..wao wanaita sunna.

#MaendeleoHayanaChama
Tofautisha nya za wake na nya ya shoga,chapati haichomwi upande mmoja yakhe.watu wa puani wanasema.
 
Kuna upande wanafanya Ushoga sirini wakijivisha uso wa kidini wakifiri na Mungu wanaweza kumpumbaza na Upande mwingine wanafanya waziwazi wakifiri wanafanya Jema maana wanatoa haki kwa wote.
 
Ibilisi alidhani angepeleka agenda ya ushoga katika nchi ya waislamu, amekuwa dissapointed!

Uislamu ndiyo adui mkuu wa Ibilisi na Jeshi lake
Sasa huoni kuwa kwa sasa ushoga ndiyo unaongelewa zaidi kuliko hata mechi zenyewe za Kombe la Dunia? Ni kama Qatar wametumika kuutangaza zaidi huo ushoga wenyewe.Sijawahi kusikia kwenye fainali zingine zote zilizopita hii ya ushoga ikipewa free airtime kama fainali hizi za sasa.
 
Back
Top Bottom