Mmiliki wa PSG asema Dunia haitendi haki kwa Qatar

Mmiliki wa PSG asema Dunia haitendi haki kwa Qatar

Qatar wamesimamia msimamo wao, na watafanikiwa.
Ushoga hapana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Lakini hebu tizama kwa angle nyingine,ni fainali zipi za Kombe la Dunia huu ushoga ulipata free airtime kama ilivyo kwa sasa kule Qatar? Wenyewe huwa wanasema 'There is no such thing as bad publicity'.Kwangu mimi naiona Qatar kama imejikuta inautangaza zaidi huo ushoga.
 
Lakini hebu tizama kwa angle nyingine,ni fainali zipi za Kombe la Dunia huu ushoga ulipata free airtime kama ilivyo kwa sasa kule Qatar? Wenyewe huwa wanasema 'There is no such thing as bad publicity'.Kwangu mimi naiona Qatar kama imejikuta inautangaza zaidi huo ushoga.
Msimamo wao utasaidia wengi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kuna upande wanafanya Ushoga sirini wakijivisha uso wa kidini wakifiri na Mungu wanaweza kumpumbaza na Upande mwingine wanafanya waziwazi wakifiri wanafanya Jema maana wanatoa haki kwa wote.
Shida sio kufanya shida kulazimisha watu wote wafanye.
 
Mbona PSG walivaa uzi wenye upinde na hakufanya chochote? Binadamu ni wanafiki sana.

Mimi nasema mashoga na wasagaji wasibugudhiwe iwapo mambo yao wanayafanya huko vyumbani mwao ila wakijitangaza hadharani basi ikiwezekana wachomwe kwa petroli live bila chenga.

Tuseme mwanao wa kiume
Afilwe chumbani ni freshi
Ila asifilwe hadhalani?

Vip hapo ina sound good au?
 
Tuseme mwanao wa kiume
Afilwe chumbani ni freshi
Ila asifilwe hadhalani?

Vip hapo ina sound good au?
Sasa kama ni mambo yake ya sirini wewe utajuaje? Akijitokeza hadharani na kutafurahia hayo maisha basi atakutana na vita ya kupoteza uhai.
 
Shida sio kufanya shida kulazimisha watu wote wafanye.
Sio kweli hakuna aliyekamatiwa silaha akalazimishwa akubali ushoga ila ni ushawishi fulani unatumika na mna haki ya kukataa, mbona mataifa mengi tu duniani yamekataa na hakuna walichofanywa.

Kwa wale ambao wamewahi kufika katika nchi za magharibi watakubaliana na mimi kwamba idadi ya hao mashoga kwenye nchi hizo ni ndogo sana tofauti na wengi wanavyofikiria huku kwetu.

Ukiwa huko utawaona hao mashoga kwa nadra sana kwa sababu hata huko wengi wa watu hawaupendi ushoga japo wapo wengine hawaupendi lakini wanasema yule mwenye kuupenda aachwe huru kwa sababu mwili ni wake ndio maana huko kibaka anakamatwa lakini shoga anaachwa kwa sababu tu eti mwili ni wa kwake.

Lakini ukweli ni kwamba ushoga ni pepo sawa tu na lile pepo la watumiaji wa unga na ndio maana wote hao ukiwachunguza vizuri utakuta akili zao haziko sawasawa, wanakuwa na some sort of mental derailment  kwa sababu ya yule pepo.
 
Sasa huoni kuwa kwa sasa ushoga ndiyo unaongelewa zaidi kuliko hata mechi zenyewe za Kombe la Dunia? Ni kama Qatar wametumika kuutangaza zaidi huo ushoga wenyewe.Sijawahi kusikia kwenye fainali zingine zote zilizopita hii ya ushoga ikipewa free airtime kama fainali hizi za sasa.
Nadhani kinyume chake
 
Hayo matangazo ya kuhamazisha ushoga ndilo jambo wasilolitaka maana hata wao wanafanya na kufanywa ila kwa usiri mkubwa.
 
Yaani hawa wasumbiji wana taabu sana aisee kwani kama wao wameamua kufanya ushoga kuna aliyewalazimisha mpaka na wao walazimishe mataifa mengine?!
 
Back
Top Bottom