Mmmh! Kapigage picha za hivi?

Pisi ya kawaida sana pumbavu madogo hamjui pisi mbuzi shwaini
 
Ww jamaa lazima utakuwa na matatizo fulani ๐Ÿ˜‚
 
Mademu wazuri wa hivi ,ndiyo zilikuwa ndoto zangu ujanani kuishi nao ,Sasa naishi na paka ,Hawa nikimbahatisha basi lazima mfukoni nibaki apeche alolo
Menemene ipo siku ntakupeleka mahakamani aisee daah sijui huwa unafikiria nini kuandika hivi...nimecheka kifala sana hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ