Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Nikoje mkuuMbona yuko bomba tuu? Wewe una matatizo gani? Unataka awe kama Miss Natafuta ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikoje mkuuMbona yuko bomba tuu? Wewe una matatizo gani? Unataka awe kama Miss Natafuta ?
Hamna pisi umoKwanini mnasema hiyo ni pisi kali? Mavazi? Sura?
Sio kila kondakta hajaenda shule mkuu ondoa hiyo dhana potofu,kuna makodakta wana degree ila soko la ajira ndio limewafanya wafanye hiyo kazi,ila wanakipato kukuzidi wewe mwenye ajira na stress za kuzimu unayepokea makombo baada ya bank kuchukua chao ulicho kopaHana shule,ulitaka afanye umalaya?
Huyu atakuja kumiliki kampuni ya mabasi au uwekezaji wowote unaohusiana na usafiri wa mabasi mfano garage nakadhalika..note hakuna mchaga waki mkuu heshimu kazi ya bibieHisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Hujui watoto wa Kali weweMademu wazuri wa hivi ,ndiyo zilikuwa ndoto zangu ujanani kuishi nao ,Sasa naishi na paka ,Hawa nikimbahatisha basi lazima mfukoni nibaki apeche alolo
Ni kweli kabisa ila usisahau macho utafautiana Kaka .Hujui watoto wa Kali wewe
Tupe picha tuone mfano wa pisi kaliInaonekana Vijana hamjawahi ku-date PisiKali
Kwahiyo huyo ndiyo mnaona ni PisiKali kweli?
Mangii unamtetea mchaga mwenzio!? 😁Mtu anaishi maisha yake watu wanamchambua mara mbaya mara hana tako
Unakuta kidume kina ndevu uchwara
Ili Vijana wahovyo wanipore sio?Tupe picha tuone mfano wa pisi kali
Hata za ma celeb sio lazima awe mchepuko wakoIli Vijana wahovyo wanipore sio?
"Wangu namficha kwapani.."
😂Mademu wazuri wa hivi ,ndiyo zilikuwa ndoto zangu ujanani kuishi nao ,Sasa naishi na paka ,Hawa nikimbahatisha basi lazima mfukoni nibaki apeche alolo
Kwa kweli aiseeNashangaa Kuna mtu et anakwambia Bariadi hakuna pis labda hajawahi fika vijijini kule aone pis natural aache kihangaika na pisi fake Kila kitu
Pitia Jukwaani la Photos angalia ule Uzi wa Picha za waremboHata za ma celeb sio lazima awe mchepuko wako