mmmhhh NDOA???


Daaahh hii
Kweli ndo funga kazi
Sante dear..
 

Eti umeoa au uliwahi kuoa..
Dahhhh nakuvulia nani liiii........
mmmmhhhh
 
Kuoa/kuolewa ni moja ya justification ya selfishness ya mwanadamu...........huyu wangu, wangu peke yangu...just selfishness basi


ha ha ha ah ah ahaaaa mkuu wewe ni noma bana lolz
 

kwa mimi ninavyofikiri, ndoa ni njia aliyoiweka Mungu, kwa wapenzi kuhalalisha mahusiano yao.
Hivyo basi, hao wanandoa ni lazima wawajibike (wawe responsible) na maamuzi yao.
Labda tujiulize UPENDO ni nini kwenye masuala ya ndoa?

Mie nafikiri Upendo ni kitu ambacho kinakua (grow)! Kuna ndoa nyingi tu, wanandoa wanazidi kupendana kadiri miaka inavyozidi kwenda, kwa sababu wanaanza kugundua wajibu wao kwenye ndoa, na pia kumuelewa partner wake.

Wengi siku hizi wanaingia kwenye ndoa bila kujua wajibu (responsibilities) wao wanapokuwa kwenye ndoa. Yaani ndoa inaendeshwa kwa hisia (feelings) zaidi kuliko reality, na hii ni mbaya sana, kwa sababu hizo feelings zikupungia, na ndoa iko hatari.

Kwa hiyo msingi wa ndoa upo kwenye kuwajibika kwa mwanandoa kwa mwingine..Kama hujui uwajibikaje ni bora ujifunze ndio uende huko. Pia ikumbukwe kuwa watu hatufanani,hivyo huwezi ku-kopi na ku-pesti mapenzi yako uliyokuwa unampa fulani, ukafikiri yatakuwa sawa kwa mtu mwingine.

Kikubwa pia ni kumshirikisha Mungu. wakati ukifika, utaona tu mambo yanaenda sawa, wala hautumii nguvu nyingi kuingia kwenye ndoa. Ndoa haitakiwi kulazimishwa sana kama mtu hayuko tayari kuwajibika
 
Kuoa/kuolewa ni moja ya justification ya selfishness ya mwanadamu...........huyu wangu, wangu peke yangu...just selfishness basi

You have spoken my mind
 

watu wanaoa na kuolewa kwa sababu tofauti tofauti.
Wengine umri, wengine mazingira, sababu za kifamilia etc.
 
Kama ndio wewe Husninyo mwenyewe (maana humu JF kunaonyesha kuna maajabu zaidi ya yale ya Musa); jibu swali kwanza please kabla hujauliza. Natanguliza shukrani.

mmh! Wewe unanifananisha na TF!!
Nimekujibu hapo chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…