Vibaya hivyo mamito, mungu ndio aliowaunganisha bwana jifunze kuipenda tena kama mwanzo
:A S-key::A S-key::A S-key:mmh! Wewe unanifananisha na TF!!
Nimekujibu hapo chini.
ume(ta)oa au kuolewa?
kwa sababu (z)ipi?
Umeoa au kuolewa?
Kwasababu (z)ipi??
(JF ina mambo tena sio madogo)Kama ndio wewe Husninyo mwenyewe (maana humu JF kunaonyesha kuna maajabu zaidi ya yale ya Musa); jibu swali kwanza please kabla hujauliza. Natanguliza shukrani.
mimi hata sijajua nitaolewa kwa sababu zipi.
Huwa sifikirii habari za kuolewa. Nahisi sipendi.
Hilo ndio jibu Chauronaomba kuuliza,ivi ndoa ni mbaya au sisi ndo tunzifanya kuwa mbaya?
Anza kusoma tokea page ya kwanza
aisee babu nimeona vibinti vingi tatizo micharuko sana ikabidi niwapotezee.
Tatizo letu wengi huwa tunapendwa tusipopenda na kupenda tusipopendwa.
mimi hata sijajua nitaolewa kwa sababu zipi.
Huwa sifikirii habari za kuolewa. Nahisi sipendi.
Mambo ya Lugha haya....
(JF ina mambo tena sio madogo)
Asante sana...
Pole sana, computer unayotumia itakuwa imekaa upside downNimefanya hivyo ndio nikazidi kuchanganyikiwa.
Ukifuata link hii
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/124457-inakuwaje-mambo-haya-10.html
post namba 183 inasomeka hivi:-
Kweye uzi huu,
Nimefanya hivyo ndio nikazidi kuchanganyikiwa.
Ukifuata link hii
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/124457-inakuwaje-mambo-haya-10.html
post namba 183 inasomeka hivi:-
Kwenye uzi huu,
sasa Husninyo ataoa vibinti au ataolewa na njemba?
Confused...................
Hilo ndio jibu Chauro
Dahhhhhhhh
siuna sasa unataka kubembelez wa
Nway ntakununulia pipi
Daahh hope umeridhika lol
Nway namwonea huruma
atakaye ingia kwenye hii familia lol
Hahahah hamna dogo dogo wala nana nana..
Lizzy Lizzy wanitakia nini mimi mtoto wa mwenzio
1. Ndio nataka kuoa yaani ukinikata na kiwembe au kisu damu ya mwili wangu inatoka na maneno yanayoonekana kuwa nataka kuoa
2. Nataka kuoa kwasababu:Nampenda na Nitamlinda, Yaani huyu mke wangu mtarajiwa ana akili kuliko hata Yusufu Makamba, Sio mwanachama wa CCM, Sioi kwasababu nataka anizalie watoto la hasha ila kwasababu nampenda yeye
Ohooo!! Yesss mbona anakujua fika hawezi kuleta maneno mengi:love::love:NAKUPENDA shem!!!
Karibu sana kwenye familia.....na huyo dada akileta maneno mengi nyumbani mlete kwangu nimnyooshe!!!
You have said it all ChauroNililaumu ndoa mwanzo lakini nimegundua sisi ndo wabaya na ndio tunaifanya hii Taasisi Takatifu kuonekana ivo,Lakini ki msingi na ukweli tuzilaumu tabia zetu mbovu na chafu zinazoua ndoa zetu na kuangamiza maadili ya kizazi kijacho.Ndoa kama ndoa haina matatizo haya tunayoeleza humu.
Halafu unajua nakutegemea wewe nitakupa mtihani wa kunifanyia designs ole wako uiingie mitiniHeheheheh...nimeanza kubembelezeka!!
Ila kweli bwana fanya ule mpango basi...............:disapointed:
Sipendi ndoa mimi hata sijui kwanini niliolewa..........................
Ukipata jibu la hapo kwenye bluu, basi utakuwa hauna haja ya kuchukia hapo kwenye redSipendi ndoa mimi hata sijui kwanini niliolewa..........................
Hembu rudi nyuma jitazame wewe na mwenza wako,tafuta ulikosea wapi sio yeye halafu anzia hapo am telling you ............utaniambia u will never be the same again!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!