Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

hiyo taarifa ilikuwa dis-classified lini? au unabeba propaganda za taasisi dhidi ya watendaji wake wasizisaliti? au unataka kutuambia mwakyembe na mwandosya walishughulikiwa in the same style
 
https://www.jamiiforums.com/habari-...ulu-na-ujenzi-wa-majumba-huko-morogoro-2.html


Ni mtendaji wa ikulu kwa jina Mbena malumbi anafanya kufuru huko morogoro maeneo ya bigwa katika barabara ya zamani ya dar-moro kutokea mjini moro.

Yasemwayo na wananchi wa huko ni kuwa watu wananunuliwa kwa hela yeyote ile unataja wewe wakita enao lako na kukuhamisha hata kama una makazi tayari.

Washajenga hotel kando ya mto inaitwa Chilakale resort na live band yao ni hali ya juu sana.

Pia kuna ujenzi unaendelea kando ya huo mto mpaka kwenye milima ya uluguru majengo yanainuka kama uyoga na wananchi wakizidi kununuliwa kila kukucha.

Niliuliza nani ndio mhusika wa haya yote anatajwa huyo mtendaji wa ikulu.

Naomba kuuliza wanajamvi mwenye taarifa kuhusu huyu mtendaji wa ikulu na utajiri wa kutisha kama huu kaupata wapi ama kuna watu nyuma yake.

Hifadhi ya mlima Uluguru karibia yote washaichukua kwa mida ya usiku unaona umeme ukuwaka mlimani wakati huku wengine kuna mgao.

Naomba tasaidiane mwenye taarifa rasmi kuhusu huyu afisa wa ikulu atujuze.

Source ni mimi mwenyewe mkazi wa Moro. Naomba radhi kama sikufuata utaratibu wa uandishi.




 

tofautisha maslahi ya taifa kwaajili ya umma na maslahi ya wachache walio tayari kwa lolote ili tu hii keki waigawane wao.
 

Mkuu nimecheka sana, na hasa hapo mwisho ulipohitimisha kwamba jamaa ana roho ngumu!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Ile NCHI yenye AMANI iko wapi?Wengi wakiwa na njaa siku zote hakuna AMANI.Na hii inawezekana pia wamelizana pesa huko huko watokako.Vinginevyo siri yao.
 
Kwa namna yoyote mauaji hayawezi kuitwa ya kinyama. Mauaji ya kinyama mtu hana shingo, kakatwa kiuno vipande viwili huyu kauawa tu. Tunangija taarifa zaidi, jf kuna mambo!
 
Basi ameuawa kibinadamu... Inside job.

Kawaida kwa usalama wa taifa kuuwawa unapoenda kinyume na wakubwa

Unataka kuniambia UWT ndio weupe kiasi hiki kiasi wakitaka kuuana wenyewe kwa wenyewe mpaka wakasubiriane barabarani?

Tuache utani jamani, mimi naamini kuna kitu kingine na sio UWT, maana naamini wanakili zaidi ya hii, kwanini wasimpumzishe kwa amani tu ana akajifia kimyakimyaa kuliko kuja barabrani na fujo zote hizo.
 
Kwa namna yoyote mauaji hayawezi kuitwa ya kinyama. Mauaji ya kinyama mtu hana shingo, kakatwa kiuno vipande viwili huyu kauawa tu. Tunangija taarifa zaidi, jf kuna mambo!

Kwahiyo kushindiliwa risasi kama mnyama pori siyo kuuawa kinyama?Kwahiyo walimuua kwa starehe au vipi?
 
Ofisa mwandamizi wa idara ya Usalama wa Taifa nchini Bwana Silvanus Mzeru ameuwawa na watu wasiojulikana katika mazingira ya kutatanisha.
Hao Tanzania Daima wamejuaje kama yeye ni afisa mwandamizi wa TISS?
 
Inaelekea mmesahau mauaji ya Imran Kombe...ndio wanavyokufa hao watu wa Usalama
 


Na cha kusikitisha zaidi... HIZO pikipiki unakuta ndio CCM WANAZIITA BODABODA... Wanazileta toka CHINA halafu wanawagawia VIJANA bila hata kufuatilia historia zao... ISIPOKUWA TU WAKIIMBA CCM kwa HASIRA NGUVU na UZANDIKI hapo CCM -- NAPE NNAUYE na KINANA wanawapa hizo PIKIPIKI...

Kwahiyo CCM kweli hawajui au wanajua SILAHA wanazozigawa NCHINI kwa VIJANA wa CCM BODABODA ndio hizo hizo zitatumika pia kuwashambulia wao NDANI ya CCM...

HAKUNA CHOCHOTE cha BURE kisichokuwa na DHIHAKA...
 
kwani maafisa usalama hawawezi kuuawa na majambazi? Si watu tu wa kawaida?
 

Mkuu, ni chadema ndio waligawa pikipiki ambazo zinatumiwa na majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…