Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport


R.I.P Mzeru

 
Bodaboda zitatumaliza!!! Kesho utasikia pkpk haziruhusiwi!! Kwa amri ya Ikulu....

hivi umejitoa fahamu au hujui kweli,
kimsingi hapo atakuwa amekiuka miko yao na wao ndio waliomuua full stop!
 
du sad news na kifo chenye maswali mengi alikuwa msaliti au anatetea taifa au alfanya ishu nje ya uwt na wauaji n nje ya uwt
 

Ukweli ni kwamba Mzeru alikuwa ndiye mshika fungu la operations na hata overseas missions.Ni kweli amewekeza kwenye miradi mingi.Lakini si kweli kwamba alikuwa kitengo cha madawa ya kulevya.Kwa nature ya kazi yake hapo idarani na mfumo wa fedha ulivyo ni dhahiri alikuwa na ukwasi wa kutosha.Huyo ameuzwa na mtu wake wa karibu.
 
Hawa jamaa kuua kwao sio issue kabisa mfano mama Clinton aliwahi kuwa na affair na jamaa wa usalama ambae alikuwa na personal details nyingi sana za Clinton activities na familia yake kabla ya kuwa raisi.

Wakati wa uchaguzi jamaa akataka kuanza kumchafua CIA kwakuwa walishaamua ndio next president there was no other choice but dude had to die, tells you how little provocation can end ones life.



TUPIA REFERENCE UTUAMINISHE
 
Hawa watu hawachelewi kusema Intelegensia ya Police imeona CHADEMA wanahusika, kwani walitumia pikipiki za CDM M4C kutoka china. Hapo Kova atapigiwa makofi na mambo yanaishia hapo kwenye uchunguzi.
 
Kwa kifupi tunaweza kusema alikuwa kibaka wa mali za uma?
 
Jamaa atakuwa ametofautiana na wakubwa kuhusu muundo wa serikali. labda anataka muungano wa shirikisho wenye ukakasi kwa watawala tutasikia mengi. pumzika panapostahili bwana afisaaaa
 
Hivi mtu anayeua kwa kupiga risasi na kupora unasema kuwa kalipiza kisasi? Hakika umevurugwa mkuu
 
Jamaa atakuwa ametofautiana na wakubwa kuhusu muundo wa serikali. labda anataka muungano wa shirikisho wenye ukakasi kwa watawala tutasikia mengi. pumzika panapostahili bwana afisaaaa
Mkuu, mtabaki na labda tu. na hii inadhihirisha ni kwa namna gani chombo chetu hiki kinafanya kazi kwa weledi mkubwa sana
 
Kigogo wa Usalama wa Taifa MH AMA KIGOGO Mzelu auliwa kwa risasi juzi maeneo ya Airport alipokua safarini akielekea Morogoro kibiashara..akiwa katika foleni maeneo ya Airport watu wasojulikana waliokua kwenye pikipiki walishuka na kumuua

Mh ama Kigogo Mzito huyu ajulikanae kwa jina la Mzeru alikua akiishi tabata kimanga maeneo ya chama ndani ndani kidogo na alikua akimiliki mahekalu yake maeneo ya chanika....watu wapo msibani wakiwemo majirani..ndugu na wakubwa wa usalama wa taifa pamoja na vigogo wengine wa serikali ya Jamhuri ya Tanzania wakiwa wamesindikizwa na ving"ora

Source..NEXT OF KIN

Poleni sana wafiwa.....M Mungu awape nguvu na subira kwa kipindi hichi kigumu kwenu.....!!!!!!!!
 
Hawa watu hawachelewi kusema Intelegensia ya Police imeona CHADEMA wanahusika, kwani walitumia pikipiki za CDM M4C kutoka china. Hapo Kova atapigiwa makofi na mambo yanaishia hapo kwenye uchunguzi.
Hakika hizi bodaboda za CDM bana! Zimekuwa majanga siku hizi. Bahati mbaya zaidi waliopewa bodaboda hizo ni majambazi
 
R.I.P ..alikua anaenda kupanda ndege ya morogoro ama.???? Hizo pesa c angediposit bank akifika moro aziwithdraw...????..au ndo kifo kilifika no option
 
R.I.P ..alikua anaenda kupanda ndege ya morogoro ama.???? Hizo pesa c angediposit bank akifika moro aziwithdraw...????..au ndo kifo kilifika no option

Si wajua kifo hakikosi sababu ndugu
 

hawa wavaa rozari wachunga kondoo yupo mmoja namfahamu yupo kenya anapiga kazi kwa mgongo wa rozari.yaani ni kama ile muvi ya delta force aliigiza checknoris
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…