Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport


Inaweza kuwa ni mbinu pia kwamba "aliuwawa na majambazi". Ni kweli wako smart, Je yule aliyekutwa kwenye kisima nyuma ya ofisi zao tusemeje, na yule aliye limwa shaba mchana kweupe Tegeta tuseme nini na ripoti za uchunguzi wa mauaji yao jiii hadi leo, Indeed they're smart.
 
R.I.P Mzeru waliokutanguliza watalipwa hapa hapa duniani..
 
There is something wrong somewhere ....
 
mwezi uliopita walimkosakosa na risasi maeneo ya jackies bar oysterbay kuna mtu alikuwa anamfuatilia muda mrefu time will tel!!
 
Very sad to see the actual location of the most horrific and tragic death of a family friend! Rest in peace Silva.
They should put a landmark for he will forever be remembered by his loved ones
 

eeh usinambie classmate wangu Beno na ujanja woote wa kichaga kumbe nyumba alinunua kumfichia swahiba wake Rizimoko?/au ndo mana cku hizi hawapo karibu kivilee kama ilivokuwa awali?/duu noma
 
Mmh kwangu mimi zimeaaidia mpk nikamfumania mke wangu.. sijaona ubaya wa pikipki

Naomba Ujambazi utangazwe ni janga la kitaifa. Kila kukicha majambaz. Hv ni nani anawapa taarifa kuwa mtu fln ana fungu la hela? Tafakari chukua hatua

Umeandika vzr ila ni ktk theoretical point of view inapokuja kwenye uhalisia, jambo la wananchi kushiriana na polisi ni gumu sana kwa sababu ktk polisi wenyewe kuna majambazi wengi tu( na hata polisi wenyewe wanafahamiana ila hawachujui hatua yoyote ya kudhibiti) pia kumbuka huyo jamaa aliyeuawa ndo usalama wa taifa( by definition) kwa namna moja au nyingine alikuwa anahusika ktk kuwa-identify hao waarifu lkn ktk mazingira ya kitanzania usalama wa taifa haushughuliki na mambo km haya ambayo ni senstive badala yake wasave interests za politicials na kibaya zaid majambaz hawaangalii sura wanaangalia pesa ndo mana hata wao waliotakiwa kupambana na mambo km haya wanapatwa na uhalifu km huu ambao wao huenda walifikiri ungempata mtu/ watu mbali na wao. All in all kikulacho ki nguon mwako.
 
labda huyu jamaa kauawa na wenzake labda alikua anaiba nyaraka muhimu unajua tena sasa hivi nchi imetikisika kwa haya mambo ya katiba!!
 
Soma sheria ipo ya 1972 ukiwa na pesa kuanzia 100 unarubusiwa kuomba escort sasa sheria gani unataka?
Asante kwa taarifa pia nadhani ulichepuka kidogo kusoma comment yangu, mie issue hapo ilikuwa ni kiwango cha kukaa nacho nyumbani nikiwa na maana kama watu watajenga tabia ya kufanya transaction through bank hili suala ya mtu kukaa nyumbani na mamilion ya hela litakwisha maana unakuta mtu ana milion 25 zimepigwa (hapa naona kama utani, kama ni mauzo kwanini yasifanyike through bank ili kuondoa mwanya wa fedha haramu kuwa mikoni mwa watu). Bora hata wale zinazopigwa wakati inapelekwa bank kuliko mtu kajititia nazo ndani wiki.
 
bastola je??
Tena siku hizi kila anaemilki bastola anaanzisha yeye ugomvi alafu ndio anakuwa wa kwanza kutoa bastola kutishia, kwa akili kama hizi kwanini asiitumie kwenye ujambazi (kama walivyoruhusu pikipiki kufanya biashara ya usafiri bila kuweka limit na pia kuruhusu utoaji leseni ya u-milki wa bastola bila kufanya screening ya kweli ndivyo na matukio ya ujambazi yanazidi.
 
Jamaa yangu wa CID kaniambia jamaa alikutwa na shilingi milioni 58 wakati polisi walipopekuwa gari lake
 
Jamaa yangu wa CID kaniambia jamaa alikutwa na shilingi milioni 58 wakati polisi walipopekuwa gari lake

Criminology - na kwa kweli common sense - inatuambia huu unaonekana si ujambazi, kwani majambazi wangechukua hela.
 
ujambazi ujambazi kila cku......polisi wako likizo naona
 
mwanzilishi jambaza wa kwa kutumiaa pikipiki mbona alisumbuaaa mjini hapa ila sahv ni marehemu jamaa alikuwa muda wote anatumiaa Honda 250...alikuaa na uwezo wa kupitaaa hata sebuleni kwako akatokea mlango wa nyumaa alikua pia na shabaa jamaa alikuaa mshenzi sana .. alikua na magenge wanatumia pikipiki..jambazi huyo alikuaa anaitwa ramadhani ngonji ila polisi walim kill.....huko magwepande..na jambazi hyo alikuwa anakula na baadhi ya polisi ktk deals zao..kwa hyo matukio yote yanayo tokea lazima kuna mchoro unachorwa na bad cops wanajuaa ishu nzima
 

Kama aliwashtukia mapema kwanin yeye ndio angewawahi kabla maana ingekuwa rahisi zaidi kwake kuwalenga watu walio kwenye piki piki? au hakuna na pisto?
 
rebkim......kwa hyo huyo aliyouawa ni muuza sembe syo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…