Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
Unataka kuniambia UWT ndio weupe kiasi hiki kiasi wakitaka kuuana wenyewe kwa wenyewe mpaka wakasubiriane barabarani?
Tuache utani jamani, mimi naamini kuna kitu kingine na sio UWT, maana naamini wanakili zaidi ya hii, kwanini wasimpumzishe kwa amani tu ana akajifia kimyakimyaa kuliko kuja barabrani na fujo zote hizo.
Inaweza kuwa ni mbinu pia kwamba "aliuwawa na majambazi". Ni kweli wako smart, Je yule aliyekutwa kwenye kisima nyuma ya ofisi zao tusemeje, na yule aliye limwa shaba mchana kweupe Tegeta tuseme nini na ripoti za uchunguzi wa mauaji yao jiii hadi leo, Indeed they're smart.