Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Hawa UWT wamekuwa wakimaliza wenyewe kwa wenyewe, sijui huwa wanazungukana?
 
Maelezo yako hayaonyeshi kama ameuawa kinyama...
 
Bodaboda zitatumaliza!!! Kesho utasikia pkpk haziruhusiwi!! Kwa amri ya Ikulu....
 

Kawaida kwa usalama wa taifa kuuwawa unapoenda kinyume na wakubwa
 
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.
 
Na ukiangalia habar kama hz magezet hawez kutoa zaid yaTanzania daima tu!!
 
Usalama wa Taifa ishu zao ni nyingi mno, unaweza kuona ameuwawa kwa sababu ya Usalama wa Taifa.!

Mkuu.

Hii nayo kali! Sasa hao usalama wa Taifa kama ndio wenyewe, hawana namna nyingine ya kulinda usalama wa Taifa mpaka wamuue mwana usalama wa Taifa mwenzao?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…