Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Kuna haja ya jeshi la polisi kuweka sheria watu hawaruhusiwi kutembea na kiasi kikubwa cha fedha bila ulinzi.

Hivi mtu unajibebea mamilion tena huna hata hofu.

Kwa jins matukio yanavyozidi huu ni mchezo wa majambaz na wahusika wa karibu na alieibiwa.
Tusubiri uchunguzi

Police hawatungi sheria, hiyo ni kazi ya Bunge, wao ni wasimamizi/watekelezaji wa sheria.
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

pikipiki zipigwe risasi? au madereva wa pikipiki ndio wapigwe risasi?
 
Je umejiuliza kwanini safari hii majina ya wafungwa waliopewa msamaha na Rais siku ya sikukuu ya muungano hayakutamgazwa magazetini kama ilivyo kawaida huko siku za nyuma? Majambazi wengi ambao ndio wafadhili wakuu wa CCM wakiwemo wale wa EPA wamepewa msamaha hivyo haikuwa sawa majina yao kutolewa hadaharani kwani siri ya CCM ingejulikana!!!
 
Maafisa wa polisi wanahusika kupanga nakutekeleza vitendo vya uhalifu sehemu mbalimbali hapa nchini ukizingatia sisi wananchi hatuna sehemu ya kusemea au kusikilizwa pindi tunapo toa taarifa za siri juu ya tabia zao inasikitisha xana tunapoona wanawakamata watu wasio na hatia nakuwaazibu bila hatia
 
Dah aliacha vioo wazi? Tatizo sio piki piki mbona nchi zote kuna hizo mtrbikes? Just police hawafanyi kazi yao
Tumejisahau kama nchi na kujenga mfumo ambao riziki haitafutwi tena kwa BIDII NA MAARIFA bali kwa ujanja na maguvu! Baadhi wanajuidanganya kuwa 'wataongeza ulinzi binafsi' lakini haitawapa faraja maana wajomba, kaka, wadogo, shangazi dada zao watakuwa victims wa huu ujambazi.
Cha kujiuliza labda ni nani hawa majambazi na ni kitu gani kinawapelekea 'kuchagua' hii kazi mbaya na ngumu!?

 
vioo alifunga na majambazi walichukua hella kidogo nyingi zilibaki .kwenye begi .wanainchi waliwarushia mawe majambazi wakakimbia kuelekea banana .na huohuo askari nao wakafika kwenye eneo la tukio
 
Hii yako chiki binafsi. Hujali mtu aliye uwawa na wala hufikiri familia yake imebaki vp! Mtz badilika hiyo siasa wala hatakujenga kwa mtindo huo.
 
!
!
ndio huwa tunafikiria sana hasa ahadi kedekede alizotuahidi.........na hili la ajira alisisitiza sana naona inatimia taratibu

Kijana hakuna wakati zimeibuka kazi nyingi Tanzzania hii kama wakati huu wa Kikwete.

Kumbuka, ujambazi haukuanza leo Tanzania a hautakwisha leo Tanzania. Nyerere si ndiyo alikuwa mkali na dikteta na wakati wake ndio uliposhamiri ujambazi, tuulize tuliokuwepo.

Usiwe kama kijana ambae hajasoma au haelewi anachokisoma.
 
watu kama nyie huwa nawafananisha na mtoto wa miaka 5 ambaye anazira kula chakula kwavile kachapwa na baba yake au anasema kabisa baba simpendi. Lakin siku kama hana hela ya kununua icecream anaenda kuomba tena kwa baba yule yule..... Ww unaongea hapa lakin siku ukitiwa ngeu lazma uende polis kufungua kes au kuchikua pf3 au ukiibiwa unakuwa wa kwanza kujichekesha polis huko huko. Uwapende au usiwapende lakin utaenda tu kuwalilia msaada

kuish bila polisi inawezekana,wewe kama huamin shauri yako,,,polisi wenyewe ndo hawa kila siku wanafukuzwa kwa ujambaz,tukio la wizi wa Barclay Polisi wanahusishwa na waligawana mil 20,nenda makao makuu watakupa ripot,me polis siwapend na nawachukia,na sitabadi huo msimamo wangu kwa maneno yako Mgirik
 
Last edited by a moderator:
watu kama nyie huwa nawafananisha na mtoto wa miaka 5 ambaye anazira kula chakula kwavile kachapwa na baba yake au anasema kabisa baba simpendi. Lakin siku kama hana hela ya kununua icecream anaenda kuomba tena kwa baba yule yule..... Ww unaongea hapa lakin siku ukitiwa ngeu lazma uende polis kufungua kes au kuchikua pf3 au ukiibiwa unakuwa wa kwanza kujichekesha polis huko huko. Uwapende au usiwapende lakin utaenda tu kuwalilia msaada

kuish bila polisi inawezekana,wewe kama huamin shauri yako,,,polisi wenyewe ndo hawa kila siku wanafukuzwa kwa ujambaz,tukio la wizi wa Barclay Polisi wanahusishwa na waligawana mil 20,nenda makao makuu watakupa ripot,me polis siwapend na nawachukia,na sitabadi huo msimamo wangu kwa maneno yako Mgirik
 
Last edited by a moderator:
watu kama nyie huwa nawafananisha na mtoto wa miaka 5 ambaye anazira kula chakula kwavile kachapwa na baba yake au anasema kabisa baba simpendi. Lakin siku kama hana hela ya kununua icecream anaenda kuomba tena kwa baba yule yule..... Ww unaongea hapa lakin siku ukitiwa ngeu lazma uende polis kufungua kes au kuchikua pf3 au ukiibiwa unakuwa wa kwanza kujichekesha polis huko huko. Uwapende au usiwapende lakin utaenda tu kuwalilia msaada

kuish bila polisi inawezekana,wewe kama huamin shauri yako,,,polisi wenyewe ndo hawa kila siku wanafukuzwa kwa ujambaz,tukio la wizi wa Barclay Polisi wanahusishwa na waligawana mil 20,nenda makao makuu watakupa ripot,me polis siwapend na nawachukia,na sitabadi huo msimamo wangu kwa maneno yako Mgirik
 
Last edited by a moderator:
watu kama nyie huwa nawafananisha na mtoto wa miaka 5 ambaye anazira kula chakula kwavile kachapwa na baba yake au anasema kabisa baba simpendi. Lakin siku kama hana hela ya kununua icecream anaenda kuomba tena kwa baba yule yule..... Ww unaongea hapa lakin siku ukitiwa ngeu lazma uende polis kufungua kes au kuchikua pf3 au ukiibiwa unakuwa wa kwanza kujichekesha polis huko huko. Uwapende au usiwapende lakin utaenda tu kuwalilia msaada

kuish bila polisi inawezekana,wewe kama huamin shauri yako,,,polisi wenyewe ndo hawa kila siku wanafukuzwa kwa ujambaz,tukio la wizi wa Barclay Polisi wanahusishwa na waligawana mil 20,nenda makao makuu watakupa ripot,me polis siwapend na nawachukia,na sitabadi huo msimamo wangu kwa maneno yako Mgirik
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom