iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Usalama wa Taifa ishu zao ni nyingi mno, unaweza kuona ameuwawa kwa sababu ya Usalama wa Taifa.!
It is one of the number one bogus jobs,its better for one to be born a woman than beng.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usalama wa Taifa ishu zao ni nyingi mno, unaweza kuona ameuwawa kwa sababu ya Usalama wa Taifa.!
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.
Naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....
matatizo ya kula kiporo na kulala mchana,lazima uote ndotoKazi zao ni hatarishi sana, usifikiri kazi ya kuiweka nchi ya watu zaidi ya millioni 40 kwenye usalama ni kazi ndogo, ni kazi kubwa na ya hatari, wanakumbana na kila aina ya matatizo kwa kuhakikisha kuwa wengi wanabaki salama.
Hao vijana wetu wanakumbana na mengi sana na inabidi tusikitike kwa kuondokewa na mtu anaejitolea maisha yake kutulinda sisi.
Ingawa siwezi kukataa kuwa kuna wengine si waadilifu na hutumia fursa ya kazi zao kujineemesha wao wenyewe au kunyanyasa wengine kwa faida yao (Hii si kwa watu wa usalama tu, wengi sana wako hivyo hata baadhi ya wanasiasa) lakini, kama ijulikanavyo, "kwenye msafara wa mamba, kenge hakosekani".
Hilo swali lako kuhusu nani yuko salama? kumbuka, wewe kwa jina lako nahisi ni Muislaam (ingawa majina si kigezo kamili cha kujuwa dini (njia) ya mtu), kama ni Muislaam (nadhani hata Wakristo) tunaamini kuwa tunaishi kwa amri ya Mwenyeezi Mungu na hakuna mlinzi aliye bora kwetu zaidi ya Mwenyeezi Mungu. Tuzidishe imani.
Inna li Llahi wa Inna ILlahi Rajiun.
au labda majambazi walijua kuna kichele sikuhizi wafanyakazi wa benki nao si wanatonya navyosikia.
Naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.
na sii ajabu huyu ni mpinga jk aisee..
Mkuu una-beep eeeh.. Utapigiwa soon.. jamaa wana roho ya kutu.. wanajitafuna hata wenyewe kwa wenyewe..
kama ni yeye basi Rizone atakuwa amefanya mpango ili amiliki mwenyewe......:frusty: