Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Usalama wa Taifa ishu zao ni nyingi mno, unaweza kuona ameuwawa kwa sababu ya Usalama wa Taifa.!

It is one of the number one bogus jobs,its better for one to be born a woman than beng.....
 
Tumkumbuke na yule aliye uwawa wakati anatwengenezesha gari yake gereji.
'shirika moja kampuni tofauti'
 
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.

naanza kupata picha!!! ccm kazini
 
Naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....

kama ni yeye basi Rizone atakuwa amefanya mpango ili amiliki mwenyewe......:frusty:
 
Kazi zao ni hatarishi sana, usifikiri kazi ya kuiweka nchi ya watu zaidi ya millioni 40 kwenye usalama ni kazi ndogo, ni kazi kubwa na ya hatari, wanakumbana na kila aina ya matatizo kwa kuhakikisha kuwa wengi wanabaki salama.

Hao vijana wetu wanakumbana na mengi sana na inabidi tusikitike kwa kuondokewa na mtu anaejitolea maisha yake kutulinda sisi.

Ingawa siwezi kukataa kuwa kuna wengine si waadilifu na hutumia fursa ya kazi zao kujineemesha wao wenyewe au kunyanyasa wengine kwa faida yao (Hii si kwa watu wa usalama tu, wengi sana wako hivyo hata baadhi ya wanasiasa) lakini, kama ijulikanavyo, "kwenye msafara wa mamba, kenge hakosekani".

Hilo swali lako kuhusu nani yuko salama? kumbuka, wewe kwa jina lako nahisi ni Muislaam (ingawa majina si kigezo kamili cha kujuwa dini (njia) ya mtu), kama ni Muislaam (nadhani hata Wakristo) tunaamini kuwa tunaishi kwa amri ya Mwenyeezi Mungu na hakuna mlinzi aliye bora kwetu zaidi ya Mwenyeezi Mungu. Tuzidishe imani.

Inna li Llahi wa Inna ILlahi Rajiun.


matatizo ya kula kiporo na kulala mchana,lazima uote ndoto
 
na dr.slaa atulie sasa. Ishu za wake za watu sio nzuri
 
Kuua hakuzuii taarifa kutoka. Zitatoka maana ni sisi kwa sisi. Nina maana ni watanzania kwa watanzania). Cha muhimu tutengeneze nyumba yetu iwe salama. Kamwe hakuna aliye juu ya sheria au aliye bora nchi hii. Vijembe, kiburi na majingambo ya ccm dhidi ya watanzania walala hoi hayataacha 'usalama ukae salama'. Taarifa chafu za dhuruma haziifaziki...zitatoka tu ili nchi ipone.
 
au labda majambazi walijua kuna kichele sikuhizi wafanyakazi wa benki nao si wanatonya navyosikia.

Mkuu hivyo ndivyo inavyotakiwa iwe! Kama ni wenzie waliomdedisha inatakiwa watengeneze mazingira kuonyesha ni tukio la kijambazi!! Usikute hata hiyo briefcase haina chochote cha maana lakini wamefanya hvyo ili ionekane ni tukio la unyang'anyi (ujambazi)
 
Naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....

familia ya mkulu huwa tumia vibaya sana hao jamaa!!! inaonekana wazi ni kupishana maneno na familia ya mkulu ndio imepekea jamaa kupoteza maisha.
 
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.

Alimficha kwenye hilo begi?
 
"hata wakristo tunaamini"
inamaana umeshasilimu
!??
kadoda11 hebu msome vizuri huyu mfiadini

nimemsoma kwa "utuvu".hawezi kupost bila kuitaja dini yake.
juzi alidai eti inbox yake imejaa PM za wana-diasporas walio ktk movement ya kudai dual citizenship.najiuliza mpaka leo ni aina gani ya diasporas wamekubari kumtumia/kutumiwa na mfia dini huyu.hala hala wasije tu wakaingizwa ktk organization za kigaidi unwillingly.
 
Last edited by a moderator:
inawezekana ndio alie kuwa anatoa data kwa wapinzani wa ccm!
 
Mkuu una-beep eeeh.. Utapigiwa soon.. jamaa wana roho ya kutu.. wanajitafuna hata wenyewe kwa wenyewe..

We muache apime sumu kwa kuionja!! Wenyewe wapo humu, watamtrace mpaka mtaa anaoishi, alafu wamuamishie mabwepande wakamfanyie uchunguzi wa kinywa na kucha.!
 
Back
Top Bottom