Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Si ndiyo yule mwenye Chilakale Resort pale mkoani Morogoro?Na Mbena Malumbi ni nani?Hizi habari zinanichanganya sana.So Mzeru Silvanus na Mbena Malumbi ni mtu mmoja.

Naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....

kuna mmbena malumbi,mmbena malundi na silvanus mzeru hapa tunazungushwa tu lazima kuna mambo nyuma ya pazia majina 3 tofauti lakini tukio ni moja la mauaji.hiyo chilakale ma miradi yote ya majengo pale bigwa moro ni yake kwa niaba ya mkuu wa kaya.tutajua mengi hapa

kama ni yeye basi Rizone atakuwa amefanya mpango ili amiliki mwenyewe......:frusty:

familia ya mkulu huwa tumia vibaya sana hao jamaa!!! inaonekana wazi ni kupishana maneno na familia ya mkulu ndio imepekea jamaa kupoteza maisha.
...aiseee...
 
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.

agent wa usalama wa taifa ameuliwa na makachero wa usalama wa sisiyemu
 
Bibie ukituliaga unaandika vitu murua kabisa mpaka unanikosha roho!!!

1000likes

huyo "b'nkubwa" FaizaFoxy hana lolote.ameshajua next year taifa linaenda kupata raisi mkristu.machale yamemcheza,ameanza kubadirika mapema.still haimuondoi ktk top 10 list of JF most extremist members of all time.FF ni mdini bigtime.
 
Last edited by a moderator:
Maelezo yako hayaonyeshi kama ameuawa kinyama...

"jana mida ya jioni majambaz yasiyofahamika yalimvamia bwana Mzeru na kumnyofoa moyo kwa kutumia kisu butu, yakampofoa macho, yakamwagia maji ya moto halafu yakamnyonyoa nywele zote kisha yakamtupa mtaroni na kumshindilia na jiwe lenye kilo 55" nadhani nimekufurahisha kwa maelezo hayo ya kinyama. (una roho ngumu wewe)
 
Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.
Huwezi kujua nini kimetokea,


Ni vyema kuwaachia polisi wafanye uchunguzi. Binadamu wana mambo mengi sana.


Nakumbuka mwaka 1989 pale Iringa jamaa alilipua ofisi ya UWT na petroli wakati wakiwa kwenye mkutano na waliokuwemo waliungua vibaya sana.

Ila michepuko nayo mwisho wake ni mauti...
 
hahahaha mtoi kwanini wasimuuwe usalama mwenzao DONGE.
Huenda ulisoma kwa kudona, soma tena katikati ya mistari "...Mashuhuda hao waliongeza kuwa wauwaji wa Mzeru walimfuata katika mtaro na kuumua kabla ya kuondoka na briefcase iliyokuwa kwenye gari..."

"...Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo, kabla ya kuuwawa kwa Mzeru watu wawili waliokuwa kwenye pikipiki walirusha risasi kuelekea katika gari yake..."

"...Habari zinasema mara baada ya kufanyika kwa tukio hilo la kinyama wauwaji hao waliondoka na briefcase ya marehemu huyo ambayo haijajulikani ndani yake ilikuwa na vitu gani..."

Haya yanatoka kwenye bandiko ulililo kwisha soma; Kama hayaonyemi uuwaji au tendo la kinyama basi unyama utakuwa na defitions nyingi sana!
 
Mkuu.

Hii nayo kali! Sasa hao usalama wa Taifa kama ndio wenyewe, hawana namna nyingine ya kulinda usalama wa Taifa mpaka wamuue mwana usalama wa Taifa mwenzao?!

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani aliuawa kwa sumu iliyowekwa kwenye Toilet Paper na Maafisa wa Kitengo cha kupambana na Ugaidi kilichomo ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa baada ya kuonesha kutokujiamini kwenye Maamuzi ya kulinda Usalama wa Wamarekani. US Intelligence believe 'Security and Safety of the Nation Cannot be Compromised just for the sake of adhere the so called 'Bill of Human Right'
 
"hata wakristo tunaamini"
inamaana umeshasilimu
!??
kadoda11 hebu msome vizuri huyu mfiadini

soma vizuri wewe. neno "hata wakristo" lipo ndani ya mabano, na kabla ya mabano kuna neno waislamu wakati baada ya mabano kuna neno tunaamini. dhamira yake ilikuwa kusema "waislamu tunaamini" na kwenye mabano anaonyesha hata wakristo pia wanaamini hivyo hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.

Hii nayo kali! Sasa hao usalama wa Taifa kama ndio wenyewe, hawana namna nyingine ya kulinda usalama wa Taifa mpaka wamuue mwana usalama wa Taifa mwenzao?!

ya ngoswe tuwachie ma-ngoswe wenyewe! kama unafatilia kuhusu hizi intelligence agencies ni kawaida sana(kama kweli linahusiana) huwa wanajua the consquences kwa kwenda kinyume ikiwemo death penalty. wanakuwa wameapa na kukubali kila kitu. tena unaweza kuta jamaa alikuwa anakimbia nchi. we never know! Mohamedi Mtoi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom