Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,085
SLAA ANAISHI KAMA DIGIDIGI..anajua alichofanya
tehetehetehetehe, soon babu tutamsahau kabisa kwenye ulingo wa siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SLAA ANAISHI KAMA DIGIDIGI..anajua alichofanya
ya ngoswe tuwachie ma-ngoswe wenyewe! kama unafatilia kuhusu hizi intelligence agencies ni kawaida sana(kama kweli linahusiana) huwa wanajua the consquences kwa kwenda kinyume ikiwemo death penalty. wanakuwa wameapa na kukubali kila kitu. tena unaweza kuta jamaa alikuwa anakimbia nchi. we never know! Mohamedi Mtoi
Chini ya utawala wa Chama Cha Mashetani hakuna haki wala kulinda wala usalama wa Taifa ,wala usitegemee kuwepo amani ,MaCCM wameivuruga nchi na wanaendea kuivuruga ili wafanikishe miradi yao.
unaambiwa wamechukua koba, ndio mbuguma? Ni heri tu ungesema mbwa kala mwanae!Mambo ya kuchukua wake za watu mabaya sana. Hata hivyo serikali iimarishe ulinzi dhidi ya raia wake, maana sheria za kudeal na wagoni zipo.
Mkuu, ni chadema ndio waligawa pikipiki ambazo zinatumiwa na majambazi
tofautisha maslahi ya taifa kwaajili ya umma na maslahi ya wachache walio tayari kwa lolote ili tu hii keki waigawane wao.
Hapo kwenye red nimecheka sana.We muache apime sumu kwa kuionja!! Wenyewe wapo humu, watamtrace mpaka mtaa anaoishi, alafu wamuamishie mabwepande wakamfanyie uchunguzi wa kinywa na kucha.!
Umeona kitambulisho chake, au uliwahi kuingia ofisini kwake, au .....Siyo Tanzania Daima, bali hata mimi binafsi na watu kibao wanafahamu huyo Mzeru (Mbena Malumbi) ni agent wa TISS
naomba kujua kati ya silvanus mzeru na mbena malumbi nani aliyeuwawa hapo karibu na uwanja wa ndege.huyu mzeru ndio anahusika na majengo na mradi mkubwa wa chilakale resort huko moro wakihusiana na familia ya mkuu wa kaya wamejimilikisha hadi mlima wa uluguru kote ni majengo tuuu km uyoga. Kwa wale waliofika chilakale resort hata mabango ya hiyo miradi client ameandikwa ni mzeru.tokea kifo chake kuvuma tokea jana maskari wametanda huko bigwa kwenye hiyo miradi.je kwann hayaaa kuna nn hapa.nahisi kuna mengi nyuma ya pazia na vile familia ya mkuu wa kaya ilionekana ikija kutembelea hiyo miradi.....
Umeona kitambulisho chake, au uliwahi kuingia ofisini kwake, au .....
umesikia kutoka kwa watu tu.
huyo "b'nkubwa" FaizaFoxy hana lolote.ameshajua next year taifa linaenda kupata raisi mkristu.machale yamemcheza,ameanza kubadirika mapema.still haimuondoi ktk top 10 list of JF most extremist members of all time.FF ni mdini bigtime.
Mkuu, ni chadema ndio waligawa pikipiki ambazo zinatumiwa na majambazi
Mnyalu ulipotea sana karibu ndugu zako wanatulazimiasha tuisahau TanganyikaHuwezi kujua nini kimetokea,
Ni vyema kuwaachia polisi wafanye uchunguzi. Binadamu wana mambo mengi sana.
Nakumbuka mwaka 1989 pale Iringa jamaa alilipua ofisi ya UWT na petroli wakati wakiwa kwenye mkutano na waliokuwemo waliungua vibaya sana.
Ila michepuko nayo mwisho wake ni mauti...
Mkuu, ni chadema ndio waligawa pikipiki ambazo zinatumiwa na majambazi