Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

Leo utakuwa umelipwa elfu kumi halafu umeambiwa chenji elfu 3 ubaki nayo nawe unywe hata kakonyagi kadogo wikiendi hii.tunajua hiko ni kituo chenu kama radio Uhuru,mwambieni tu awaombe wanahabari radhi ona anakimbia vituo kibao vilivyo jijini kwakwe wakati alidai mji ni wake
Jamaa kapewa buku kumi leo
 
STARTV hakuna muhindi,jaribu kwenda kwa bakhresa au manji ukaombe kazi ya chief aacountant wa makampuni ya quality group au bakhresa,akikuomba cheti umwambie sina,Siku hiyo hiyo anakuajiri
Mkuu kusema
Yaani ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mmeigeuza kwa mhindi?
Uwe unasoma mtiririko wa thread,usiwe unapenda kudandia treni kwa mbele dada
 
Dawa ya moto ni moto [emoji23][emoji23]
Na dawa ya feki ni feki nyenzake,kumbe hivi vijamaa vya STARTV vinatulisha kasa,vinatangaza habari za vyeti feki kumbe vyenyewe vina vyeti feki,nchi hii ina safari ndefu,mtu anatamgazia habari mamilioni ya watu kumbe ana vyeti feki!!

Ndio maana hii TV inakufa kifo cha mende,ni TV ya hovyo sana,hovyo kabisa!!
 
Kinachonifurahisha ni baadhi ya watu kujifanya hawataki kusikia habari za Makonda ili hali wanafungua na kuchangia kila thread inayomhusu mkuu wa mkoa huyo.

Yaani kuna wale wengine sasa wanatoa povu na matusi kuliko hata clouds wenyewe waliovamiwa hadi unajiuliza huyu mtu wa namna hii si anaweza patwa na ugonjwa wa kiharusi na ugonjwa wa moyo kwa jambo lisilo muhusu.
Jamani nawasihi mnaojifanya sitaki na taka wa habari za Makonda raha jipeni fuatilieni tu kwa ukaribu na karibuni jumatatu tumwangalie na kumsikiliza mubashara siku ya jumatatu, maana najua wengi wenu mtamzitama tu hapa mnaleta mbwembwe tu.
 
Kinachonifurahisha ni baadhi ya watu kujifanya hawataki kusikia habari za Makonda ili hali wanafungua na kuchangia kila thread inayomhusu mkuu wa mkoa huyo.

Yaani kuna wale wengine sasa wanatoa povu na matusi kuliko hata clouds wenyewe waliovamiwa hadi unajiuliza huyu mtu wa namna hii si anaweza patwa na ugonjwa wa kiharusi na ugonjwa wa moyo kwa jambo lisilo muhusu.
Jamani nawasihi mnaojifanya sitaki na taka wa habari za Makonda raha jipeni fuatilieni tu kwa ukaribu na karibuni jumatatu tumwangalie na kumsikiliza mubashara siku ya jumatatu, maana najua wengi wenu mtamzitama tu hapa mnaleta mbwembwe tu.
Akili za buku 7 hizi,kufikiria kwa kutumia tumbo kunaweza kusababisha mtu amwage povu LA namna hii utafikiri amekunywa viroba vya magendo.waambie hao wandishi wasiongelee mambo ya mishahara wanaweza chezea mboko za kutosha
 
Akili za buku 7 hizi,kufikiria kwa kutumia tumbo kunaweza kusababisha mtu amwage povu LA namna hii utafikiri amekunywa viroba vya magendo.waambie hao wandishi wasiongelee mambo ya mishahara wanaweza chezea mboko za kutosha
Hahaha ndio hizi akili ninazozishangaa kwanini ujibu ama ufungue uzi wa mtu usiyempenda? Ujue waweza konda kwa wivu.
Limebakia neno buku 7, kutumia tumbo eti ndio kujiliwaza. Jamani msipate tabu najua hata wewe ni miongoni mwa watakaotizama siku ya jumatatu kama umeweza kujibu hapa ili hali mliweka mgomo nini kitashindikana kumwangalia mubashara mkuu wa mkoa.
 
Agenda ya msingi tuliyobaki nayo Wapinzani ni "VYETI FEKI " tu.. Kweli yametufika shingoni
Hivi kumbe kudhibiti vyeti feki ni agenda ya upinzani? Sikujua, nilifikiri ni ya CCM.
 
Kwahiyo utakuwa ni mkutano wa wenye vyeti feki?
 
Back
Top Bottom