Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

Mkuu kusema

Uwe unasoma mtiririko wa thread,usiwe unapenda kudandia treni kwa mbele dada
Niko makini mkuu. Angalau umekiri kwamba Bashite hastahili kuwa ofisi ya serikali, bali anaweza kuwa Startv!
 
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV yanaweza kumuumbua mmoja ya watangazaji ambaye inasemekana ana vyeti feki!

Katika andiko hilo ametahadharisha mambo mengi pamoja na hilo

Waandishi walioandaliwa kufanya mahojiano na makonda,kwa mujibu wa tangazo linalozunguka mitandaoni, ni Leonard Mapuli na Aloyce Nyanda

Ni nani kati yao ana vyeti feki?
Kwa hiyo unatakaje
 
nadhani jicho la tatu la watanzania halioni mambo mengine.
huu ni ugonjwa kwa taifa.
[HASHTAG]#mimimalenga[/HASHTAG] .
 
Watu tunao tumia fake ID twajifanya kwamba tunafahamu sana watu wenye Vyeti visivyo halali! hata wewe unavyeti fake! Unafiki
 
Viva startv viva makonda, clouds TV walidhani wenye media house ni wao tu. nchi nzima tutatazama star tv
Hahaa iv star tv ipo maana ata namba yake kwa remont yangu mtto kaingoa
 
mpaka mbowe nauhakika ataangalia mubashara star TV kumcheki makonda
 
Back
Top Bottom