unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
BBC dira ya dunia ndio kipindi pekee watu huangalia, otherwise hiyo TV is nearly to be declared bankrupt.
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV yanaweza kumuumbua mmoja ya watangazaji ambaye inasemekana ana vyeti feki!
Katika andiko hilo ametahadharisha mambo mengi pamoja na hilo
Waandishi walioandaliwa kufanya mahojiano na makonda,kwa mujibu wa tangazo linalozunguka mitandaoni, ni Leonard Mapuli na Aloyce Nyanda
Ni nani kati yao ana vyeti feki?
Viva startv viva makonda, clouds TV walidhani wenye media house ni wao tu. nchi nzima tutatazama star tv
Duh!Maapuli was my class mate jamani nimesoma nae shule moja from Form one to Form four amemaliza 2005 ana DV 111 Form four , advance amesoma private labda uyo mwingine!!! Na chuo kasoma SAUT!!
Mhhhhh!!!!*Katibu wa Shirikisho la Wamiliki wa Shule Binafsi Arusha,L.Ma ameviambia vyombo vya
Habari jijini Arusha kuwa,
Polisi haijawarejeshea
Sh18m waliyotaka
kuikabidhi Lucky Vincent.