Wewe ulirudi mapema?rip mwambaaaa nilisomaaa naee Jerusalem 2009
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulirudi mapema?rip mwambaaaa nilisomaaa naee Jerusalem 2009
Itakuwa huyu alikuwa Ile Siku Shambulio. Bcoz nilisikia babake akisema walitumwa wapeleke DNA zao ili kutambua miili iliyokutwa imeuliwa na Hamas Kutoka Eneo la Shambulio.Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
HHakuna gaidi. Hao ni waislam wa Palestina wanapigania nchi yao
Hao magaidi wa Hamas wamehusika na kifo cha mtanzania mwenzetu ambaye hata hahusiki na mzozo wao na Israel.Hakuna gaidi. Hao ni waislam wa Palestina wanapigania nchi yao
Kwani unapomteka unamuuliza dini yake kabila lake au uraia wake? ElimikaKauliwa na Hamas magaidi,kama asingetekwa na Hamas asingekufa, Hamas unatekaje mtu asiye Mwisraeli?
Acha kuhamisha magoli, tunaongelea Mtanzania aliyeuawa na magaidi wa Hamas.Serikali ya Tanzania: Mtanzania aliyekufa Ukraine alifungwa na baadaye kujiunga na Wagner
Kwa hivyo? Kwako Hamass magaidi. Kwa waislam hamas ni wakomboziAcha kuhamisha magoli, tunaongelea Mtanzania aliyeuawa na magaidi wa Hamas.
Magaidi hao wa Hamas wamemuua mtanzania mwenzetu.Kwa hivyo? Kwako Hamass magaidi. Kwa waislam hamas ni wakombozi
Magaidi hao wa Hamas wamemuua mtanzania mwenzetu.
,wakombozi wa Palestine ni Fatah na Palestine Authority.
Gwajima anafufua wafuMagaidi hao wa Hamas wamemuua mtanzania mwenzetu.
,wakombozi wa Palestine ni Fatah na Palestine Authority
Nje ya mada.Gwajima anafufua wafu
Alshabab wanakuuliza Dini Yako kama siyo islam wanakuuwaKwani unapomteka unamuuliza dini yake kabila lake au uraia wake? Elimika
You are dumber than dumbWenya lana nyie mnaopeleka ndugu zenu Israel, alienda kufanya nini kambi za majeshi huko Israel, tulisha wambia Hamasi hukuwauwa hao raiya walio kuwa kwenye musical festivals mkawa mnabisha.
Tuliwambia Hamasi yeye target zake ni kwenye kambi za jeshi tu, sa huyo mbongo alienda fanya nini kambi za jeshi?
Kuhusu, Hamasi nani kakuambia anauwezo wa kuitoa hapo Gaza si America, Europe wala Israel wana ubavu huo.
We msikilize Natanyahau tu na Biden wanaota wanadhani Hamasi wanatishika na maneno 😄
gazaKwahiyo amekutwa kafa gaza au Israel?
Gaza wamekufa watu zaidi ya 14000 kwa mashambulizi ya anga ya israeli na yeye akiwemo .gaza