Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Changamoto imeondoka na wengiAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Na ulinzi wa mabunduki na Gari la kukata mawasiliano sijui kitu ganR.I.P Sumry,dah,,Dunia mapito mtu unakufa unacha makorokoro yote ya Dunia.
Mbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?Changamoto imeondoka na wengi
USSR
Kwani kuchanga ndio kuzuia kifoMbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?
hivi kifo kipo serious namna hii?
Mbona anazikwa chap chap namna hiyo.Hata ndugu wa mbali hawajafika wote.ni kama kuna mtu anataka kumaliza utata flan hiv
Ulimchanja?Mbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?