Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnapenda stori za kuuana??Watasingizia corona kumbe ukute kuna mtu kammaliza anatumia mgongo wa corona.
Hii dini bhana unaweza zikwa bado mapigo ya moyo yanapiga kidogodogoMbona anazikwa chap chap namna hiyo.Hata ndugu wa mbali hawajafika wote.ni kama kuna mtu anataka kumaliza utata flan hiv
Mwendo ameumalizaAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Om Shanti Shanti ShantiAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Hivi kwa nini mkuu hiyo uviko inawaonea sana vibopa,au ina wivu nao,mbona makondakta wa mabasi kila siku wapo kwenye risk hatujawahi kuhudhuria mazishi yao kwa vifo vilivyosababishwa na changamoto??Watu wanamlaumu kwamba zitto amepika takwimu.
Uviko19 inadondosha miamba sana.
Nani kasema, kwani dalili ya mtu kufa ni nini?Hii dini bhana unaweza zikwa bado mapigo ya moyo yanapiga kidogodogo
KhaaaaaaNa ulinzi wa mabunduki na Gari la kukata mawasiliano sijui kitu gan
Mgongo wa korona unafanya mengiWatasingizia corona kumbe ukute kuna mtu kammaliza anatumia mgongo wa corona.
amefariki AGHA KHAN HOSPITAL DAR KWA CORONA MAZISHI MAKABURI YA KISUTU LEOAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Huyo mtu aliyemmaliza atakua Ni Nani?Watasingizia corona kumbe ukute kuna mtu kammaliza anatumia mgongo wa corona.
Umri mkuu,makonda wengi bado wana nguvu,pili hata kama wanakufa huwezi kujua,Sumri hata kama humjui ukitajiwa kwamba ni mmiliki wa yale mabasi inamtambulishaHivi kwa nini mkuu hiyo uviko inawaonea sana vibopa,au ina wivu nao,mbona makondakta wa mabasi kila siku wapo kwenye risk hatujawahi kuhudhuria mazishi yao kwa vifo vilivyosababishwa na changamoto??
MafiaMgongo wa korona unafanya mengi