Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hata wategemewa kwenye familia wamepotea wengi2019-2021 Matajiri wengi wamefariki.
Pole kwa familia,marafiki . Pole kwa uchumi wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wategemewa kwenye familia wamepotea wengi2019-2021 Matajiri wengi wamefariki.
Pole kwa familia,marafiki . Pole kwa uchumi wa nchi
Kuna Mafia tz wanafanya kazi na haraka haraka Kweli KweliMafia
Gwajima misukule yake hua anailisha Unga wa ugali nadhani.Mbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?
Chukua tahadhari mkuu. Jikinge na UVIKO-19.Apumzike kwa amani.
Haitakuwa Corona. Kwetu hiyo haiuwi watu tokea Apr 2020.
Yatakuwa magonjwa mengine tu.
Matunda ya siasa za mwendazake za kuwaaminisha ujinga wafuasi wake ndio haya SasaMbona mnapenda stori za kuuana??
Covid19 ipo mtaani na inaua kwa kasi
Hakuna tahadhari itakayokuepusha na kifo.....! Kama ni wa kufa ni kufa tu....!Chukua tahadhari mkuu. Jikinge na UVIKO-19.
Juzi nilihudhuria msiba wa tajiri mmoja huko Moshi na nina maanisha tajiri kweli kweli na kwny mazishi yake familia ikasema baba yao amefariki kwa Corona na hata kijitabu Cha kuelezea historia ya marehemu wameandika sababu ya kifo Cha baba yao Ni Corona,Askofu shoo(Mkuu wa KKKT) aliyekua anaongoza mazishi hayo alipongeza hatua hio ya familia kusema ukweli.Matajiri hawafichi fichi mambo yao.amefariki AGHA KHAN HOSPITAL DAR KWA CORONA MAZISHI MAKABURI YA KISUTU LEO
Condom unavaa?neti unatumia? Helmet ya pikipik unavaa?Si usubiri ufe tu unajikinga ili iweje.Hakuna tahadhari itakayokuepusha na kifo.....! Kama ni wa kufa ni kufa tu....!
Hivi kwa nini mkuu hiyo uviko inawaonea sana vibopa,au ina wivu nao,mbona makondakta wa mabasi kila siku wapo kwenye risk hatujawahi kuhudhuria mazishi yao kwa vifo vilivyosababishwa na changamoto??
Hakuna tahadhari itakayokuepusha na kifo.....! Kama ni wa kufa ni kufa tu....!
Changamoto alilazwa agha khanAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Pia soma > Mjue Salum Sumry, kutoka kuachana na biashara ya mabasi hadi kuamua kujikita kwenye kilimo biashara
Ungeujua uviko19 vizuri usingeuliza hilo swali mkuu....Ushasema vipoba nenda kaangalie vibopa wanakuwa na issue gani au magonjwa gani ,kisha pitia uviko inapendelea kupiga wapi au watu gani wapo vulnerable na uviko.
Hivi kwa nini mkuu hiyo uviko inawaonea sana vibopa,au ina wivu nao,mbona makondakta wa mabasi kila siku wapo kwenye risk hatujawahi kuhudhuria mazishi yao kwa vifo vilivyosababishwa na changamoto??
Asisahau pia humu wanatangazwa vibopa kina kaj*mba nani tangu lini ikawa nayo Habari?
Utata huoo Mkuu usiulize tenaMbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?
Tajiri wa hai Nan Tena huyo unayemsifia n tajiri Kweli KweliJuzi nilihudhuria msiba wa tajiri mmoja huko Moshi na nina maanisha tajiri kweli kweli na kwny mazishi yake familia ikasema baba yao amefariki kwa Corona na hata kijitabu Cha kuelezea historia ya marehemu wameandika sababu ya kifo Cha baba yao Ni Corona,Askofu shoo(Mkuu wa KKKT) aliyekua anaongoza mazishi hayo alipongeza hatua hio ya familia kusema ukweli.Matajiri hawafichi fichi mambo yao.
Mbunge wa hai(CCM) alikuwepo hapo msibani na akapewa nafasi ya kuongea, akasema ndg zangu kueni Makini hapa Hai Hali si nzuri hata Kule motuary sehemu ya kuweka mwili 1 inawekwa miili 2.
Kabisa na inapiga sana kajamba nani(ambao sio maarufu) sema hawatangazi.