macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nani aliwadanganya watu mafukara hawafi kwa korona? Matajiri ni maarufu ndiyo maana watu wana-share habari zao. Hivi unadhani muuza mchicha au dagaa anayekaa Yombo Vituka akifa kwa korona watu wa sehemu nyingine za nchi watafahamu? Sana watu wa karibu na mtaa anaoishi, ndugu, jamaa na marafiki ndiyo watapashana habari. Korona ipo na maskini wanakufa tena kushinda matajiri ila habari zao zinaishia huko huko wanakokaa. Hivi huyu anayejadiliwa hapa unadhani kama angekuwa dereva wa daladala tungejua?Aisee inawezekana kabisa mkuu
NimekuelewaApumzike kwa amani.
Haitakuwa Corona. Kwetu hiyo haiuwi watu tokea Apr 2020.
Yatakuwa magonjwa mengine tu.
embu tuondolee porojo zako hapa. waliouweka kapuni huo uzi walifanya jambo la maana sana.Nilileta uzi kuwa Mungu anaisafisha dunia ule uzi nadhani uliwekwa kapuni.
Ila kwa ufupi ni kwamba Mungu anaisafisha dunia yake.
Kaa vizuri kijana usije kusafishwa
Nawewe utasafishwa usipobadilikaembu tuondolee porojo zako hapa. waliouweka kapuni huo uzi walifanya jambo la maana sana.
Mwezi gani? Maana wa tz hawaruhusiwi kwenda ukMbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?
Nyepesi nyepesi nilizozisikia ni Corona alikuwa amekwenda Brazil kwa ajili ya vifaa vya ujenzi maana Humud yeye ni mkandarasi wa barabara na jioni hii hapa Sumbawanga tulikuwa na kisomo kwa ajili ya marehemuAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Aliekufa sio Salum aliekufa ni mdogo wake yule anajishughulisha na ujenzi wa barabara,madaraja nkHii taarifa sijaielewa mwenye uelewe atoe ufafanuzi hasa watu wa sumbawanga wenye kuwajua vizuri..maana naona mitandao mingi inaandika salum humud summary na picha yake inaonekana.
Huyu salum sumry ni mtoto wa yule mzee sumry mmiliki wa mabasi toka kampuni inaanza. Maana nakumbuka mzee sumry alikuwa na watoto I think watatu mkubwa akiwa salum...Je anayezungumzwa na Ni salum au yule baba yake?
Na utaaga tu hakuna namna! Bora uanze kuzoea!Naogopa sana sekunde za mwisho mwisho kuaga dunia. Sijui kuna nini huko?
RIP mkuu.
Mkuu unafikiri ni kafiri huyo?Mbona anazikwa chap chap namna hiyo.Hata ndugu wa mbali hawajafika wote.ni kama kuna mtu anataka kumaliza utata flan hiv
Hii dini bhana unaweza zikwa bado mapigo ya moyo yanapiga kidogodogo
Mkuu lile tatizo lako la kupitiwa na usingizi weekend nzima unapokosa hela limeisha? Nimepata ile dawa..Nimebakia mimi tu😞👌🏿
Hapana jamii za kiasia wanazika Hata na tochi hawalali na maitiMbona anazikwa chap chap namna hiyo.Hata ndugu wa mbali hawajafika wote.ni kama kuna mtu anataka kumaliza utata flan hiv
RiepAliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia Alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.