DOKEZO Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

DOKEZO Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji.

Hii shule inamilikiwa na nani?

Uongozi wa shule ya Baobab haujaomba radhi wala kukemea huu upuuzi, kwa maana utajirudia tena hapo shuleni na una baraka za uongozi.

Haya yamevuja tumeyaona mitandaoni, vipi ambayo ambayo hayavuji mitandaoni.

Dr Gwajima hujaona hii video?

Hawa mabinti ni Watanzania, kwanini uongozi wa shule haukuweka ulinzi ikiwemo kuzuia simu na watoto kuji record.

Hii tabia ikemewe maana itasambaa shule zote za Tanzania.

Tabia ya usagaji Kwa mabinti ipo shule nyingi private, Dr Gwajima ingia kazini Toka ofsini komesha huu ujinga.

Pia soma: Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa
 
Sure sinaona kusagana kokote kule kosa lao lilikuwa ni video kuvuja lkn walikuwa kwenye furaha ya kawaida
Watu povu eti walikua wanasagana.
Na madem wengine wanapenda hizo mbanga ni vile hao madogo kuna wapuuzi wamevujisha video yao.
 
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji

Hii shule inamilikiwa na nani?

Uongozi wa shule ya Baobab haujaomba radhi wala kukemea huu upuuzi, Kwa maana utajirudia tena hapo shuleni na una baraka za uongozi

Haya yamevuja tumeyaona mitandaoni, vipi ambayo ambayo hayavuji mitandaoni

Dr Gwajima hujaona hii video? Au unaisubiri kufuatilia talaka na ujinga wa 50/50

Hawa mabinti ni Watanzania, kwanini uongozi wa shule haukuweka ulinzi ikiwemo kuzuia simu na watoto kuji record,

Hii tabia ikemewe maana itasambaa shule zote za Tanzania

Tabia ya usagaji Kwa mabinti ipo shule nyingi private, Dr Gwajima ingia kazini Toka ofsini komesha huu ujinga
Una uhakika kama wale mabinti ni wa baobab?
 
Ila watu muwe makini kutangaza kwamba ni watoto wa shule ya Baobab bila kuwa na ushahidi wa kuaminika Mnaweza kushtakiwa.

You never know, pengine aliyeanzisha uvumi huo ni mshindani wake kibiashara kwa lengo la kuwachafua tu.
 
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji
Mkuu una extended version ya ile video nini, maana unachoandika na content ya ile video tofauti
 
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji

Hii shule inamilikiwa na nani?

Uongozi wa shule ya Baobab haujaomba radhi wala kukemea huu upuuzi, Kwa maana utajirudia tena hapo shuleni na una baraka za uongozi

Haya yamevuja tumeyaona mitandaoni, vipi ambayo ambayo hayavuji mitandaoni

Dr Gwajima hujaona hii video? Au unaisubiri kufuatilia talaka na ujinga wa 50/50

Hawa mabinti ni Watanzania, kwanini uongozi wa shule haukuweka ulinzi ikiwemo kuzuia simu na watoto kuji record,

Hii tabia ikemewe maana itasambaa shule zote za Tanzania

Tabia ya usagaji Kwa mabinti ipo shule nyingi private, Dr Gwajima ingia kazini Toka ofsini komesha huu ujinga
Zzinapatikana wwapi
 
Watoto wa kiume kupumuliwa Sasa hivi kwenye mashule au vyuo sio issue Tena,hakuna chuo wanakosekana mapunga,hata vya diploma wapo.kama Kuna mtu chuo chake Hanna hyo jamii comment
 
Ila watu muwe makini kutangaza kwamba ni watoto wa shule ya Baobab bila kuwa na ushahidi wa kuaminika Mnaweza kushtakiwa.

You never know, pengine aliyeanzisha uvumi huo ni mshindani wake kibiashara kwa lengo la kuwachafua tu.
Nimeangalia zile video yaani hakuna uhusiano wowote wa kuonyesha ni wanafunzi wa baobab katika ile video maana hata ndani ukiangalia pamekaa kama guest/logde na si Domitories....Halafu wale mabinti waliokuwa kitandani yaani wana misambwanda mikubwa which means si wanafunzi ni makahaba wabobevu waliojijazia kwa michemsho ,zege nyama choma na bia na si misambwanda ya chakula cha bwenini na misuli ya kusoma.
 
Back
Top Bottom