DOKEZO Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

DOKEZO Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna ushahidi ni wa Baobab? Mambo ya mtandao magumu sometimes
 
Kumbe kuna video ya hivyo..???
Sisi wakati tunasoma tulikua tunaletewa boys mara moja kwa miezi 3...just dancing..charting..kama hivyo yani..chini ya uangalizi wa hali ya juu humo bwaloni...
Bila kusahau kumiminiwa lita za kutosha za mafuta ya taa kwenye kande...ila daah
 
Mkuu una extended version ya ile video nini, maana unachoandika na content ya ile video tofauti
Kusagana ni wanawake kusisimuana kimwili
Wanawake kuwa uchi na kushikana matiti au makalio au viungo vyoyote ni usagaji
 
Mna hakika ni mabinti wa hiyo shule??
Na kule sio kusagana, mnakuza mambo tu. The were just having fun kucheza wakiwa na vyupi.
Wanawake kuwa uchi na kushikana matiti au makalio na viungo vingine ni usagaji
Sio hadi waingiziane vidole
Wanawake kuwa uchi bila sababu ya msingi ni usaji pia
 
Embu weka hiyo video Na hizo picha tuone. Maadili siku hizi sijui yameenda wapi, mambo ya ajabu kabisa haya!
 
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji

Hii shule inamilikiwa na nani?

Uongozi wa shule ya Baobab haujaomba radhi wala kukemea huu upuuzi, Kwa maana utajirudia tena hapo shuleni na una baraka za uongozi

Haya yamevuja tumeyaona mitandaoni, vipi ambayo ambayo hayavuji mitandaoni

Dr Gwajima hujaona hii video? Au unaisubiri kufuatilia talaka na ujinga wa 50/50

Hawa mabinti ni Watanzania, kwanini uongozi wa shule haukuweka ulinzi ikiwemo kuzuia simu na watoto kuji record,

Hii tabia ikemewe maana itasambaa shule zote za Tanzania

Tabia ya usagaji Kwa mabinti ipo shule nyingi private, Dr Gwajima ingia kazini Toka ofsini komesha huu ujinga
Bila hizo video hata pm tu futa Uzi huu ni ramli chonganishi Kwa jamii
 
Baobab kwa sasa ipo kwenye kilele cha mafanio, haita shangazi kukutana na viza vya visingizio kama hivi.
 
Back
Top Bottom