DOKEZO Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna ushahidi ni wa Baobab? Mambo ya mtandao magumu sometimes
 
Kumbe kuna video ya hivyo..???
Sisi wakati tunasoma tulikua tunaletewa boys mara moja kwa miezi 3...just dancing..charting..kama hivyo yani..chini ya uangalizi wa hali ya juu humo bwaloni...
Bila kusahau kumiminiwa lita za kutosha za mafuta ya taa kwenye kande...ila daah
 
Ambaye hakuona video asikilize hii audio aone miguno

Sikiliza hapa ▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||03:53
 
Mkuu una extended version ya ile video nini, maana unachoandika na content ya ile video tofauti
Kusagana ni wanawake kusisimuana kimwili
Wanawake kuwa uchi na kushikana matiti au makalio au viungo vyoyote ni usagaji
 
Mna hakika ni mabinti wa hiyo shule??
Na kule sio kusagana, mnakuza mambo tu. The were just having fun kucheza wakiwa na vyupi.
Wanawake kuwa uchi na kushikana matiti au makalio na viungo vingine ni usagaji
Sio hadi waingiziane vidole
Wanawake kuwa uchi bila sababu ya msingi ni usaji pia
 
Embu weka hiyo video Na hizo picha tuone. Maadili siku hizi sijui yameenda wapi, mambo ya ajabu kabisa haya!
 
Bila hizo video hata pm tu futa Uzi huu ni ramli chonganishi Kwa jamii
 
Baobab kwa sasa ipo kwenye kilele cha mafanio, haita shangazi kukutana na viza vya visingizio kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…