AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,102
- Thread starter
- #221
Sasa mbona tangu TF ameleta hizi habari mkuu Kaizer hatumuoni kujibu hzi tuhma? halaf pia msisahau kuna mtu kaondoka na aftershave yangu kwenye party, na nasuspect sana ni TF au babu aspirini.
Nafikiri sasa utakua umeridhika... huyu hapa chini....lol
Dah Kamanda....mi tena na kreti....hivi, TBL wanaweza kujiibia wenyewe makreti? LOL
Sweetie so glad to see you.... Karibu Mpenzi...