MMU special offer

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Kiukweli wadau wote wa hapa kijiwe cha mmu nyie ni rafiki zangu na ninawapenda sana,nimeona si vibaya nikatoa upendeleo juu ya hili swala kwenu
kwa wale wanaotafuta kazi
kama una bachelor or adv diploma ya accounting au
business admn nitumie cv na passport size 3 kuna kazi ipo mkononi mwangu karibuni mwisho saa sita
 
he he he....bebii bana....mimi nina picha peke yake....nitume...?
 
Wooow..
Naamini hakuna chembe ya utani hapa!😛oa
Job seekers mshindwe wenyewe SASA...!
Thanx alot Bebii kwa upendo wa kweli kwa wana MMU!
 
he he he....bebii bana....mimi nina picha peke yake....nitume...?

Yaani wewe umepinda kama wale mashetani6 wa jana wenye kelele nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi
 
Mimi nilivoona heading nikajua umejitoa offer kumbe duh!! Mi shule za kata bwana, cmo!! Na log off.
 

Bebii, Utani siyo mzuri wakati mwingine!

Post saa tatu na nusu - mwisho wa maombi ya kazi saa sita? Ninahisi harufu ya rushwa ya (NGONO)
 
We naona hutaki tupate hiyo kazi
Saa hizi ni saa nne na tangazo ndo naliona mpaka nitoke hapa nikapige picha niandike barua ya maombi na cv ni saa kumi na mbili wakati maombi mwisho ni saa sita
 
we naona hutaki tupate hiyo kazi
saa hizi ni saa nne na tangazo ndo naliona mpaka nitoke hapa nikapige picha niandike barua ya maombi na cv ni saa kumi na mbili wakati maombi mwisho ni saa sita
acheni hzo attach ata kitambulisho cha kupiga kura
 

Umenifurahisha sana...ubarikiwe kwa moyo wako huu..

Kid sis nimeipenda hii....

Sis...sikujua kama familia imetanuka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…