MMU special offer

kama hamtaki aacheni bwana watu kibao wanatafuta kazi pia nitakuwa siwapi tena madeal hapa

acha hasira bana.....kwani mpaka sasa umepokea ngapi bebii
 
Can't complain kaka,I keep on pushing through.I'm glad umekataa ila ulipotaja mgahawa wa wifi nikastuka kidogo. Nimewamisi,hivi futari ni hadi mwezi mtukufu? nimejialika kwenu wknd ijayo

King'asti dear....ndo maana nimesma 'no thanks' si qualify jamani...kazi nloajiriwa na sweetie inantosha kabisa...how r u lakini?
 
Unatafuta mchumba kisiasa baby? Ww mtoto kitchen party yako inabidi tukaifanyie ukonga gerezani na kungwi awe mke wa mkuu wa gereza. Mj1,adi, swtlady na nyamayao hawakuwezi
Hahaha! Umenena vema mke mwe'....huyu kweli hatumuwezi....
 
heheheh....na mie ntatumia hii mbinu siku moja.
Yani unawakamata pazuri kweli maana hawatadanganya chochote!!
ila mimi simtegi mtu hapa nina kazi siriaz
 
Hahaha,cv iseme address tandale inawekwa pembeni fastaa! Pole na shule wifi,inshaallah ngoja nivute subra japo roho inantoka.nshasoma hadithi mara kadhaa,lol
 
hahaha,cv iseme address tandale inawekwa pembeni fastaa! Pole na shule wifi,inshaallah ngoja nivute subra japo roho inantoka.nshasoma hadithi mara kadhaa,lol
ahahaa kingast tandale ndo wapi?
 
Hahaha,cv iseme address tandale inawekwa pembeni fastaa! Pole na shule wifi,inshaallah ngoja nivute subra japo roho inantoka.nshasoma hadithi mara kadhaa,lol
Aisee bi dada hebu nisaidie jinsi ya ku un do PM, bebii akiona sura yangu atakua anaruka hata post zangu. Lol
 
Lol! Inabidi um-seduce paw kwanza ndo akusaidie. Otherwise muambie huyo ni mshkaji wako ulimuomba picha zake uombee kazi coz studio walikuambia urudi aftr 5 days
Aisee bi dada hebu nisaidie jinsi ya ku un do PM, bebii akiona sura yangu atakua anaruka hata post zangu. Lol
 
Hahaha,cv iseme address tandale inawekwa pembeni fastaa! Pole na shule wifi,inshaallah ngoja nivute subra japo roho inantoka.nshasoma hadithi mara kadhaa,lol

Hahahahahah...
Tandale....Mbagaraaaa hata kama ameuza rekodi tupa kule!!!

Asante wifi....pole na wewe kwa kusubiri!!
 
Lol! Inabidi um-seduce paw kwanza ndo akusaidie. Otherwise muambie huyo ni mshkaji wako ulimuomba picha zake uombee kazi coz studio walikuambia urudi aftr 5 days
Hahaha ngoja nichonge na Paw otherwise bebii atatumia picha yangu kama avatar! Uh!
 
Umeanza lini unigeria? Si ungesema tukutumie na social security number kabisa!
 
We naona hutaki tupate hiyo kazi
Saa hizi ni saa nne na tangazo ndo naliona mpaka nitoke hapa nikapige picha niandike barua ya maombi na cv ni saa kumi na mbili wakati maombi mwisho ni saa sita
mi naona muda ndo interview yenyewe,ungefanya fasta kama una sifa ila mi najua Bebii alikuwa amepewa kazi ya kufanya utafiti wa idadi ya watu ambao hawana kazi waliomo humu jf na uwezo wao wa kufuatilia fursa adimu
 
Swali kwako dada Bebii na wadada ruhusa kuapply?
- Ni aina gani ya kazi (hapa itategemea na nilichosomea)
 
swali kwako dada bebii na wadada ruhusa kuapply?
- ni aina gani ya kazi (hapa itategemea na nilichosomea)
aiyaaa????????? Mbona unanitafutia ban we mwanamke mwenzangu ? Una maana gani kuniuliza ivyo?
 
Duh!! Nilidhani nimeshachelewa kumbe mwajiri ka xtendi mda!!? Ok mm nina phd 1 ya mambo ya unyumba, stashahada ya kat...ro na umwagiliaji maji, sura inaripa kama mkuu wa magamba!!
Je da Bebii na mimi niaply/nitume doc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…