Iwe pia nawe baba mchungaji.Amani ya Bwana Iwe Nanyi...
Shauri zako hautauona ufalme wa mbinguweeeeee, stop
hilo jin la tatu ntakutoa koromeo kwa vidole vyangu mwenyewe
Hakuna haja ya kuita zima moto pepo mmoja lazima atamtii mwenzake na kukubali atendewe...tatizo kuanzia kiunoni kuja down na wewe una pepo mmoja mkorofi huyo
akikutana na huyu nliyenaye
itabidi tuite zima moto
shkamoooooo babu. Bibi hajambo?
Mkuu unasema dada (red hapo), hivi unaamini Kongosho ni mdada? what makes you think so? angalia mzee!
marhabaaaaaaaaaa mjukuu,nikupe peremende?
Hivi umaarufu ni hoja?
Au hoja ni umaarufu wa kitu gani?
Hata Matonya ni maarufu
dont shoot, nina evening insanity syndrome
Hakuna haja ya kuita zima moto pepo mmoja lazima atamtii mwenzake na kukubali atendewe...
tafazali kongosho! Halafu Mungu anisamehe huyu memba 'Mwali' nahisi kama namfahamu, different ID?
Karibu kwenye mkesha wa kuombewa usikose...njoo uombewe na Mchungaji TF&Husninyo...
kwa jinsi ninavyoifahamu jf kama mimi bishanga abashaija nina maupepo basi TF una ma tornado!
TF unajua we umedata?
Mie napita tu,ila natakujua nyie mmu kwanini wadada wengi hawapendi kuvaa mipara yao ile(ya kike mfano lady pepeta)ukiwaambia ugomvi,kwanini kondom zinatofautiana bei,na ubora ni tofauti
poa,mwambie nimemzimia kinoma!
Ka vipi mwambie ani join tule nchi hapa Acapulco,mexico.
wantoa pepo weye? Wanjua mie?allllaaaaaa Bwana asifiwe,kumbeeeeee!!!!huyu TF naona ka vile baada ya kukimbiwa na SL kachanganyikiwa,hahahahahaaaaa!!!!!!
Labda nikosee njia aisee!