MMU thread ya kufungia mwaka

Afu mi huwa nashangaa sana
Ukishaniombea tu
Inakuwa nzito kama nanga
nashindwa kabisa kuibeba
Kaitupe baharini au kawape MV magogoni wawe na spea nanga

Ulisahau nanii yako wakati nakuombea jana usiku, jioni usisahau kupita uichukue...sio vizuri kondoo wengine wakija wakaiona
 
Nijulishe za utokako.... Mie bukheri kabisa khofu kwako tu...



Vile viatu vyako vya x'mass tavituma kesho hivyo usicheze mbali na maeneo ya stand.

kwema kabisaa, yaani nashangaa hujanimisi, urafiki wa mashaka huu!!
utume na ngorika ndo najua inasimamaga wapi, sawa eeh?? na kama ni vibaya sitaenda kusali siku yenyewe
 
Ile tabia yako ya uongo umeiacha?Yasije kukutokea ya ajabu,maana we kijana kwa fiksi ni noma!

Si umeona hapo baadae napelekwa kanisani kuombewa nimesha kuwa kijana mzuri
 
Ngoja nijiandae kabisa yaani haya mapepo i see yashindwe na kulegea nasubiri tu unifunulie upako
Hapa sasa tunaenda sawa! Kwa kuanzia andaa bibilia, afu tafuta suruali ya kitambaa, vaa chomekea, nikifika hapo tunaanza safari... Mapepo lazima yashindwe ati..
 
Mpendwa katika bwana nakukaribisha katika maombezi leo jioni pale TF & HUSNINYO FULL GOSPEL FELLOWSHIP CHURCH uje tukuombee..ibada ya maombezi itatanguliwa na ugawaji wa simu za Blacberry zilizounganishwa na huduma ya internet miezi sita na BBM

utapeli mchana...mmh!!
sina hati mwenzio jaribu kwengine....lol!!!
nimezoea nokia ya kitochi blakiberi hainifai. (itakua ovasaizi yangu)
 
Huyo wa pili hakika aliombewa
Tena na mie
Unataka kujua kama nlimvua???
To be continued.........

Kwa mujibu wa TF ni kwamba wewe na The Boss mliombewa! Heheh.......kwa hiyo hata nyie mlivulishwa nguo! Dah........patamu hapo!!!
 
kwema kabisaa, yaani nashangaa hujanimisi, urafiki wa mashaka huu!!
utume na ngorika ndo najua inasimamaga wapi, sawa eeh?? na kama ni vibaya sitaenda kusali siku yenyewe
Weeee!!! Nilikumiss mpaka kidogo nikuanzishie uzi...urafiki wa mashaka?? Hapana... Wewe mwenyewe wajua fika kuwa hakunaga zaidi yangu mimi na wewe!...lol na ole wake mwenye mpango wa kutugombanisha... Tutamchangiaje!!!


Ok ngorika ya kwanza kesho inakuja na viatu, gauni fundi si keshamaliza kushona?
 
Reactions: bht
Bora umwambie wifi manake anataka nmrudishie dera lake wakati hajanirudishia skin jeans yangu....haiwezekani


Umeona eeeh? (ila tu niharakishe kusema skin jeans yenyewe ipo kwangu....lol)
 
Reactions: bht
Yule anahitaji maombezi kwa kweli mimi niliisha mnyooshea mikono dah..waweza siku kukuta unafungua thread yake mara mtu unamuona binti yako kapigwa picha na Kimbweka..lol



Vipi PA ule msimamo wako wa kuoa utakua pale pale ikiwa hivo? lol GOD Forbid!!
 
utapeli mchana...mmh!!
sina hati mwenzio jaribu kwengine....lol!!!
nimezoea nokia ya kitochi blakiberi hainifai. (itakua ovasaizi yangu)
Lol...bora umeona bht... Mpaka x'mass ipite tutashuhudia matapeli wengi sana.,.
 
Anaomba hao wawili
Wamchangie kumchojoa
Lugha za kisasa hivi utaziweza
Mie nimemwambia TF anamtosha kabisa

Itabidi sisi tumchungulie kwa dirishani wakati huduma inaendelea!
 
Habari ya siku si mbaya Asha, niiajlie afya yako bibie?



Nimefurahi kusikia hivo dear.... Afya yangu mwanana Mungu Mkubwa nipo pouwa kabisa....

Bht nikutakie maandalizi mema ya holidays.... Alafu acha kupotea hivo bana!
 
Reactions: bht

mtu ajilete aone, tunamkodishia na mdumange na maturumbeta

aah huyu fundi Ali chirimeni yangu kaiharibu bana nanunua kitenge cha zaire kesho...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…