MMU thread ya kufungia mwaka

MMU thread ya kufungia mwaka

Nenda Forum ya "Tech and Gadgets" kaeleze tatizo lako.... Jamaa wapo so reliable, utajua tatizo lako in no time at all.....

Muda wa Masjid huu dada,au umesahau leo ni Ijumaa?
 
Nenda Forum ya "Tech and Gadgets" kaeleze tatizo lako.... Jamaa wapo so reliable, utajua tatizo lako in no time at all.....
Asante kwa ushauri..ngoja niwahi cuz nakosa sana uhondo! Hata LIKE nashindwa kugonga!!
 
Khaaaaa!!! Kumbe unaenda huko nione leo jioni kwa maombezi yatayodumu wiki nzima...itabidi nikutoe pepo za akina Kimbweka na ChatuDume....lol
mwone umemjuaje kimbweka we wakati umri haukuruhusu kuingia huko?
 
Am telling you Kimbweka hua ananichanganya mpaka basi! ilibidi nimuulize maana Khaaa! (umewahi waona binti zake? lol)

ulimuuliza nini?kama na wewe anaweza kukuphotoa akarusha jf?
 
Ha ha ha...yale mapemo yalivyotoka kwa Bishanga itakuwa yalihamia kwako...


Jiandae takupitia sa 8 mchana twende kwenye maombi ila sio kwa TF..
msiniache plizz maana nahisi kichwa kuzunguka,sijui kwa vile nam miss eliza wa tegeta a.k.a kiboko ya wamama wa mmu?
 
Bora umwambie wifi manake anataka nmrudishie dera lake wakati hajanirudishia skin jeans yangu....haiwezekani

nshakuuliza huyo Asha wifi yako kwa nani?maana mie unasaba na Asha sina.
 
Back
Top Bottom