ukitanga cha uvunguni sharti uiname, toa vitu upate vitu nataka niuanzishe huu uzi sijui niupeleke moja kwa moja kule bondeni au niulete hapa then nisubirie moderator waumuvuzishe
kwa mtindo huu na makanisa ya hivi na makuhani wa kiTF ,hakika jahanam tutakosa pa kukaa.Mpendwa katika bwana nakukaribisha katika maombezi leo jioni pale TF & HUSNINYO FULL GOSPEL FELLOWSHIP CHURCH uje tukuombee..ibada ya maombezi itatanguliwa na ugawaji wa simu za Blacberry zilizounganishwa na huduma ya internet miezi sita na BBM
ulimuuliza nini?kama na wewe anaweza kukuphotoa akarusha jf?
Kuna mdada wa miaka 20 kafumaniwa na kibabu cha miaka 120!
Do you want nyaqootma' hlaneemo or awe...lolhahahahahahahahah lol
mwehhhh nimecheka kupita kiasi ..lohh
Eiyer,Husn anakukaribisha jioni kwenye maombezi.
What the hell mnachojadili hapa?:sick::A S confused:
Kuna mdada wa miaka 20 kafumaniwa na kibabu cha miaka 120!
Kongosho ulimvua The Boss? Wewe ni He au She?
bht,SL na huyo Asha wenu ntawachapa,you are chakachuaring mai sred!Hahaha! Afu upeleke kwa yule fundi mwingine pale maeneo ya soko kuu....jina limentoka bana. Mwambie hilo gauni la kitenge aweke mikanda, afu ashone sio refu wala sio fupi yaani lipo kati kati ya miguu... Huku tunaita heshima debe...lol.