MMU thread ya kufungia mwaka

MMU thread ya kufungia mwaka

ndo natoka kwa ofisi, niko mataa ya st peter.

Naanzia didiz nakula afu napita Q-bar kuna cocktail moja huwa naipenda hapo afu kuanzia saa tatu nikute George & Dragon
Q bar angalia wasikuibe wakware(assuming we ni she) au usiopoe ka we ni He,G n dragon bomba sana hapo.
 
Babu anakunywa heinken hapa na sijui yuko chupa ya kumi na tano

Aise si TF alifungia kisimu changu cha mchina halafu kaenda kwao kimanzichana
Wacha nihangaike mawasiliano sina na yeye huko kwao hakuna network ndo maana nilipotea
Hujambo sweet
Mie sijambo... Maelezo hayajanirizisha kabisaaa. Jipange sawa sawa uje tena.


Hujambo na wewe?
 
Wewe! Mpeleke mlangoni kwa Eliza wa Tegeta...mie na walevi mbali mbali..
Nimejaribu akakataa anataja tuu jina lako hapa na analazimisha nimlete kwako
Amesema kwenye gari hatashuka kama sio kwako
 
wa kuiba naye anaibiwa?
Nilishakwambia, mie mwenyewe mkware
nikiibiwa jua nimejilengesha ili niibiwe
ila Q bar sitakaa sana labda nusu saa tu
huwa kunakitu nikizimua hapo, akili inakaa mahali pake siku nzima

Q bar angalia wasikuibe wakware(assuming we ni she) au usiopoe ka we ni He,G n dragon bomba sana hapo.
 
QUOTE=sweetlady;2986246]Mie sijambo... Maelezo hayajanirizisha kabisaaa. Jipange sawa sawa uje tena.


Hujambo na wewe?[/QUOTE]

Duh pamoja na kujitetea kote hujaamini
Ok halafu nilikuwa kwenye mkesha wa kumuombea Bishanga apone mapepo yake so ikabidi nifunge kisimu changu cha mshina kuzuia nisiharibu konsetrasheni ya maombi
d
 
Back
Top Bottom