Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
yupi sasa mmeo katika hawa wawili,Rocky au Aspirin? kama ni Aspirin du itakuwa imekula kwako maana sio mhongaji.
We uko wapi usimjue hubby wangu??subiri atakujibu mwenyewe kati ya hao utamjua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupi sasa mmeo katika hawa wawili,Rocky au Aspirin? kama ni Aspirin du itakuwa imekula kwako maana sio mhongaji.
Khaaa Bishanga!!! Mswalie mtume jamani lolz...unanichonganisha na wifi angu au unahamu ya kudundwa mangumi na Kaizer???she wants to know if i am good in the sack.
Nipe mji asee!tendawili,tega,yuko jf na hajui gender yake.....nikupe mji SL?
Wifi unajua leo Bishanga kaamkia bar yenye g'house humo humo, eti anasema nkuulize wewe kama Eliza wa Tegeta atanipiga akinikuta nae, eti wewe na Eliza mnaishi jirani, ya kweli hayo wifi?My sweet Wii nini wataka kujua? nipo kwa ajili yako.....
Awali ya yote niwashukuru kwa michango yenu na kuwatakia kipindi chema cha kumalizia mwaka.
Ombi kwa wadau wa mmu:
Hebu jikunjeni hapa mmwage uzi mzito wa kufungia mwaka yaani uwe pasua kichwa mpaka wachangiaji vichwa vichemke.
Mimi naandaa wa kwangu,title:
'Ukitaka kutongoza mke wa mtu tumia mbinu hizi'.
B' umesahau, atakuwa pia kavaa koti la suti matirio kama gunia la kuhifadhia mahindi, suruali ya kitambaa green light ambayo haijanyoshwa toka inunuliwe, shati la bluu iliyokolea matirio kama mwamvuli afu ova saizi, tai nyekundu, nywele ndefu afu sio nyeusi, ziko kama zinataka kuwa za brown, mwisho kabisa hajanyoa ndevu... Lol.u
uuuuuuuuuwi mbavu sina,naimagine ulivyotoa mimacho,mikono umenyoosha mbele,mwili unatetemeka,kasuti kako kamtumba kalivyokubana tumbo,tuviatu twako tumetoboka kidole gumba kiko nje,tumiguu twako twembamba tulivyopinda kama masanja mwanawane....na kushoto kwako Husninyo anazunguka kwa waumini na kibaba cha sadaka(mnakusanya wenyewe asiibiwe mtu),du what a scene,right from hollywood!
We uko wapi usimjue hubby wangu??subiri atakujibu mwenyewe kati ya hao utamjua.
Khaaa! Siamini macho yangu...Mungu baba mwenye enzi aliyeketi juu ya uso wa dunia hii awabariki awaongoze, nakemea mapepo yote tokaaaaaaaaa, naomba uniongoze napoenda kuwaombea ndugu jamaa na marafiki zangu wa hapa MMU watie nguvu waongoze wakarudi kwenye nyumba zao salama damu yako ikawaongoze, waonyeshe njia wasije wakaenda kutenda tofauti na kinyume...
Olalalaaaa mzee mzima unanchora sasa,unataka kuniambia mama mwenye nyumba hii tukufu ya jf the right honorable Faizafoxy hujawahi kutambua uwepo wake jf? no way Mkuu!
ps: katika hili nahisi kamoshi keusi maana FF kwa umaarufu alionao jf mmmmhhhh!!!!
usicheke bana,ngoja nikuletee picha halisi ya TF kwa multimedia,si unajua blackberry langu ni la ukweli(limeandikwa 'torch').Hahahahahaaaaaa nakufaaaaaa mbavu zangu mieeeeee hahahahaaaa Bishanga naomba kwangu nikufanyie maombi!! Bado kidogo ni dondoke kwa kucheka daaaah
ndo gea zake,anajaribu kuku fool wewe,anadhani wewe ni She.
Khaaa Bishanga!!! Mswalie mtume jamani lolz...unanichonganisha na wifi angu au unahamu ya kudundwa mangumi na Kaizer???
mlivyotoka naye outing last time ndivyo alivyovaa?B' umesahau, atakuwa pia kavaa koti la suti matirio kama gunia la kuhifadhia mahindi, suruali ya kitambaa green light ambayo haijanyoshwa toka inunuliwe, shati la bluu iliyokolea matirio kama mwamvuli afu ova saizi, tai nyekundu, nywele ndefu afu sio nyeusi, ziko kama zinataka kuwa za brown, mwisho kabisa hajanyoa ndevu... Lol.
Ukitongoza mke wa mtu, basi wewe jua tayari uko kwenye jeneza, watu wanatoa heshima za mwisho, tayari kwa mazishi!