Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Inabidi mtu atoe feedback kama wakati anaomba na wakati ana pewa sio una kaa kimya .Asante ya nini mkuu
Bro weka namba kurahisisha kazi.Rudisha muamala, ntumie mie ntakushukuru hadi uone kero.....
Bro namba ndo ile ile mwisho 20, jina litakuja eve.Bro weka namba kurahisisha kazi.
Ukweli mchungu [emoji23][emoji23]Huenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka[emoji23][emoji23]
Nili tumia wakalaRudisha muamala, ntumie mie ntakushukuru hadi uone kero.....
Ahahahahah wallah narudisha muamala wangu mimi ..Huenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka😂😂
Umeona?Bro namba ndo ile ile mwisho 20, jina litakuja eve.
Nilitumia wakala na ni toka jana .Sitisha muamala atakupigia
Mbona ana bima😅😅Ahahahahah wallah narudisha muamala wangu mimi ..
Kuna mwingine nimemtumia ya kupima afya leo...
Ngoja sasa
Daaah ila wee jamaaaBro namba ndo ile ile mwisho 20, jina litakuja eve.
Mi narudisha muamala sasa hivi...ananidanganya et vipimo vya macho havina bimaMbona ana bima😅😅