Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha
View attachment 3065278
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha
View attachment 3065278