Mna kheri wenye mama mkwe mzee

Mna kheri wenye mama mkwe mzee

Tusamehe,ni utani wa hapa na pale wala hauna uhalisia....naweza chat Ivo na yoyote but si uhalisia.Am so sor mkuu
Umeeleweka,hii tabia ilikuwepo zamani hapa ikakomeshwa.
Mnaweza kuchat kidogo mkahamia pm simple.
 
Wanakulana tu
Unaona sasa,watu wa kisasa wanatakiwa wajue kua kuna akina mama mkwe dizaini ile ya Kajala,wasiwe wanawaza kizamani.
Cha muhimu sana,suala la maadili litiliwe mkazo.
 
Unaona sasa,watu wa kisasa wanatakiwa wajue kua kuna akina mama mkwe dizaini ile ya Kajala,wasiwe wanawaza kizamani.
Cha muhimu sana,suala la maadili litiliwe mkazo.
Dunia uwanja wa vita
 
Back
Top Bottom