ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Na nyinyi mme anza story za chemistry [emoji23][emoji23]maisha hayaWachana na mnyama wewe..!!
Simba SC walikutana siku nne zilizopita, wakapanda ndege kwenda Misri, mazoezi siku mbili, game ya kirafiki wakapata draw na Okrah akaweka, hapo kuna wachezaji wapya hata bado hawajazoeana na wenzao...
Hao wachezaji wa Ismailia angekuwa hawajui wasingesajiliwa, wacha kuruka ruka mtoto, na lile kosi la Simba SC bado halijapata chemistry, wakikaa pamoja mwezi wale wakazoeana nawapa pole zangu mapema .
Nenda wewe basi maana imekuuma sanaKitu nilichogundua kuwa mashabiki wengi wa yanga ni hamnazo ni kwamba timu imeweka Oda sehem ya kufikia Na gharama by then inaghairi Safari siku nne kabla ya kuondoka wale wanataka yanga iilipie gharama zote walizokubaliana kwa kuwapotezea muda pengne walikuwa Na Oda ya timu nyingine timu imeingia hasara halafu kiongozi anakuja Na hoja dhaifu kabisa je hizo ratiba hawakuwa wanazijua kabla au uzezeta???
Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.Okrah kawapa salam kaeni tayari uko kwenye mashamba ya mpunga.
βοΈβοΈNadhani alimaanisha Psychology.
Ndio utopolo wenzio hao ..giza gizaniNadhani alimaanisha Psychology.
Ni kama alivyokuwa yule Mrisho Ngassa enzi hizo hapo Yanga Sc, binafsi nilikuwa namuona kama mbilikimo tu (boya) na hakustahili kabisa kuwa mshambuliaji.Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.
Ni kama alivyokuwa yule Mrisho Ngassa enzi hizo hapo Yanga Sc, binafsi nilikuwa namuona kama mbilikimo tu (boya) na hakustahili kabisa kuwa mshambuliaji.Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na Aziz Ki ametakata mbele ya Matombo FC.Kwa hiyo mtani leo OKRAH ametakata dhidi ya watoto wa U20 wa ISMAILY SC?
Aibu naona mimi. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Matombooo kumenougaaaaa!!!!!Mabingwa wa south Africa Mamelodi wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Congo TP mazembe wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Morocco Raja Casablanca wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Zambia red arrows wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Champions league Wydad wako nyumbani kwao
Mabingwa wa confederation Berkane wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Tanzania Yanga wako nyumbani kwao
Mabingwa wa Mapinduzi cup wako Misri
- ENDELEENI KUDANGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabu unateseka wee. Mbna badoo mtatafutana huu mwaka, woiiiiiiihMazoezi ya siku 2 ,timu inacheza mechi ya kirafiki, wachezaji wametoka mapumziko ni hatari kwa afya zao, ni rahisi kupata injury tena ya muda mrefu
Tukumbuke timu ipo pre season ila haina kocha wa viungo,haina kocha wa magolikipa na wala haina mtaalamu wa physiology
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapita na Mkwanja wote kwa kibubu. Subirini hadi magodoro fake yauzike, ndo mpate ahueni.Wazururaji katika ubora wao huwa wanaupiga mwingi sana katika kuzurura kuliko kucheza mpira
Mazoezi minmum yanatakiwa kuwa ya Siku ngapi?Yuko sawa kabisa.
Ndio maana kabla mchezaji ajaingia uwanjani ni lazima afanye warming up.
Warming up inapunguza uwezekano wa kupata unneccesary injuries.
Likizo ya muda mrefu inahitaji warming up ya muda mrefu pia.
Nitacute vitu ambavyo ni sehemu ya maisha yangu?Kabla hatujaenda mbali tafuta umuhimu wa warm up
Messi ni mbilikimo lakini kazi yake Dunia inafahamu.Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.
Akae kwa kutuliaWatanzania kwa ujuaji na roho mbaya hatujambo. Hata kama ni kweli, wewe ni kipi kinakuuma sasa? Kwanza Simba ndie alianza kufunga na kipindi cha pili jamaa wakasawazisha.
Unawajua hata hao wachezaji wa El Ismaily waliocheza ama unajiongelesha tu.
ππππKutakataka ni kutakata tuu haijalishi umeoga na sabuni ipi hahahhahah
Sasa hivi mnasema yanga haina hela alafu baadae mtaanza Yanga ananunua mechi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapita na Mkwanja wote kwa kibubu. Subirini hadi magodoro fake yauzike, ndo mpate ahueni.
Byuti byuti. View attachment 2294984
Wana ubingwa wa kufika robo fainali ya FA na shirikisho AfrikaNi mabingwa wa kombe la Mapinduzi. Hawana ubingwa mwingine zaidi ya huo msimu uliopita!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiiiiihSasa hivi mnasema yanga haina hela alafu baadae mtaanza Yanga ananunua mechi