Mna Safari Ndefu Sana Kama Mmetoa Sare Na Kikosi cha Pili Cha Ismaily SC

Na nyinyi mme anza story za chemistry [emoji23][emoji23]maisha haya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nenda wewe basi maana imekuuma sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nadhani alimaanisha Psychology.
βœ”οΈβœ”οΈ

Wewe ndo umeelewa msingi wa swali langu, sasa yeye pamoja na kukosea bado akatafuta namna ya kuendelea kutetea makosa yake. Penye ukweli ni lazima tuambizane, hata kama tunaonekana kuwa tofauti linapokuja swala la Simba Sc na Yanga Sc.


Simba Sc na Yanga Sc kwa pamoja hazijawahi kutangaza kuajiri au kufukuza wataalamu wa PHYSIOLOGY (kwanza sijui kafikiria nini tu kuzusha hicho kitengo maana sidhani kama kimewahi kuwepo kwenye hivi vilabu)

Cc Mnyuke Jr
 
Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.
Ni kama alivyokuwa yule Mrisho Ngassa enzi hizo hapo Yanga Sc, binafsi nilikuwa namuona kama mbilikimo tu (boya) na hakustahili kabisa kuwa mshambuliaji.

Hata Kaseke nae alikuwa ni mbilikimo tu, ndiomaana tumeachana nae.
 
Mshambuliaji hawi MFUPI vile bhana, tusidanganyane, yule ni MBILIKIMO.
Ni kama alivyokuwa yule Mrisho Ngassa enzi hizo hapo Yanga Sc, binafsi nilikuwa namuona kama mbilikimo tu (boya) na hakustahili kabisa kuwa mshambuliaji.

Hata Kaseke nae alikuwa ni mbilikimo tu, ndiomaana tumeachana nae.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Matombooo kumenougaaaaa!!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabu unateseka wee. Mbna badoo mtatafutana huu mwaka, woiiiiiiih

Byuti byuti.
 
Wazururaji katika ubora wao huwa wanaupiga mwingi sana katika kuzurura kuliko kucheza mpira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapita na Mkwanja wote kwa kibubu. Subirini hadi magodoro fake yauzike, ndo mpate ahueni.

Byuti byuti.
 
Yuko sawa kabisa.

Ndio maana kabla mchezaji ajaingia uwanjani ni lazima afanye warming up.

Warming up inapunguza uwezekano wa kupata unneccesary injuries.

Likizo ya muda mrefu inahitaji warming up ya muda mrefu pia.
Mazoezi minmum yanatakiwa kuwa ya Siku ngapi?
Likizo ya mda mrefu ya siku ngapi?
Training match sio mazoezi? Mfano kocha angegawa 11 huku 11 kule ingekuwa sawa?
Ila kupasha na 11 wa ismalia sio sawa.
Acheni uzwazwa nyie....
 
Mbona na nyie mlitoa sare na wale watoto under 20 wa Sudan tena kwa Mkapa pale au ndio Nyani haoni kundule?
 
Watanzania kwa ujuaji na roho mbaya hatujambo. Hata kama ni kweli, wewe ni kipi kinakuuma sasa? Kwanza Simba ndie alianza kufunga na kipindi cha pili jamaa wakasawazisha.

Unawajua hata hao wachezaji wa El Ismaily waliocheza ama unajiongelesha tu.
Akae kwa kutulia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapita na Mkwanja wote kwa kibubu. Subirini hadi magodoro fake yauzike, ndo mpate ahueni.

Byuti byuti. View attachment 2294984
Sasa hivi mnasema yanga haina hela alafu baadae mtaanza Yanga ananunua mechi
 

Attachments

  • Ny.jpeg
    16.5 KB · Views: 3
Sasa hivi mnasema yanga haina hela alafu baadae mtaanza Yanga ananunua mechi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiiiiih
Kibubu kimekombwaaa choteeee, biashara ya magodoro hailipi.. Tena fake.

Byuti byuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…