Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Haya sawaTatizo mnaamini kila mnachosikia.
ontario huyooFukuza huyooo View attachment 1133611
Sijui mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenuontario huyoo
kubet ni risk ndio ila unaliwa unaona nimeliwa kihaki sio kibabaishaji match inaisha unaona nimeliwaHata kubet ni risk ila watu hawaachi
walio enda kwa Ontario walijiangalia wakajiona hawa fit ndio mana wamemfata..wangekua na PESA wala wasingemfata wangekaa na mahela yao.Ontario ana pesa kuliko watu wote waliokwenda kwake? Tumia akili kufikiri acha kutanguliza hisia. Nani katapeliwa na Ontario? Na katapeliwa vipi?
mmmmmh hhhm mimi huyu! kwani wateja wa dagaa na vitunguu wameisha hadi nije huko? Kwanza FOREX nshaona ili utusue ni lazima uisome uielewe tena na kitabu ushike..sasa mambo ya kurudishana class mi siiyataki.
Nshazoea ki tecno nakinunua 7000 nakiuza 25,000 napata hela yangu kilainiiiii...ila mambo ya kusoma soma mi staki kwanza.
Mkuu tusivunjiane heshima. Hakuna mahali nimekutusi. Ongea hoja, lete hoja.Haya sawa
Maana vitu vingine kubishana ni upumbavu
Hasa kubishana na misukule ya ontario
Yap!! Wengi wanafeli kwa wanafundishwa namna ya kutumia MT4 bila kuwa na knowledge yenyewe inayotakiwa ili ku trade.hiyo chain refu sana mimi nishazoea kutumia hiii Creativity + Knowledge = Success
Lets run this town nigger..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tusivunjiane heshima. Hakuna mahali nimekutusi. Ongea hoja, lete hoja.
Mimi nimeijua forex kabla Ontario hajaanza kufundisha watu. Kimsingi wewe ndio msukule kuliko hao unaowaita misukule. Hakuna anayedownload pesa, we work for it. Tunatumia akili na muda mwingi kwenye screen kuliko watu wa ofisi and we get paid for it.
Mi nina uhakika wa laki 2 na thelathini kila siku nitakayotrade and I trade thrice per week. Mi na wewe msukule ni nani?
Nina residual income nzuri kuliko wewe mpumbavu mmoja unaponda kitu usichokijua.
Kwa Ontario watu walilipa laki na 30 hata kama hujui kitu hiyo pesa imesharudi. Endelea kuwaza shit while we run the town
Nimeshindwa kudownload hela za Muhindi za Forex sijui nitawezaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap!! Wengi wanafeli kwa wanafundishwa namna ya kutumia MT4 bila kuwa na knowledge yenyewe inayotakiwa ili ku trade.
Cha kufia nn mzee babakula maisha mkuuu
Utaweza mkuu ila uwe tu na elimu inayohitajika pia uwe creative !!! Kwenye trade .Nimeshindwa kudownload hela za Muhindi za Forex sijui nitawezaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najitahdi sana kujua tu hata nawekaje pesa na natrade vip kama Vile kubet...!!Utaweza mkuu ila uwe tu na elimu inayohitajika pia uwe creative !!! Kwenye trade .
THAWAHaiwezekani wote tukawa wataalamu wa biashara ya Forex, ukiona kimekushinda acha. Forex is real, mimi mwenyewe siwezi na sitakuja kujaribu hii kitu, ila najua ni biashara ipo siku nyingi na watu wanaendesha maisha yao kwa hii Forex.
Najua siwezi kui-master, siko interested nayo. So waachie wenye nayo, wanaoweza.
Tusiaminishane kuwa forex ni utapeli. Ukiliwa kosa ni lako, kufanya kitu usichokiweza wala kukijua.