kwa mtu ana e BET hiii kitu ya FOREX haimsumbui maana tayari ana vi knowledge,kwa sisi tusio jua hata ku bet mama Leo atapika wali au ugali...una BET na madogo leo maza anapika Ubwabwa maana umeona mchele kumbe ule mchele ni wa Jumapili usiku mezani unafunua hotpot unakutana na Nguna...ushachana mkeka hivyooo Kwa watu akam sisi ngumu sanaNajitahdi sana kujua tu hata nawekaje pesa na natrade vip kama Vile kubet...!!
Kuna channel moja ya telegram ya kiswahili jamaa anafundisha free tu ni ww na bando lako unaweza icheki ukawa unapiga mapindi hapo ni simple na inaeleweka vizuri tu.Najitahdi sana kujua tu hata nawekaje pesa na natrade vip kama Vile kubet...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani atakimbia Jf akianza kutumiwa screenshot za kudownload mil 1 kwa week hapa asianze kuliaa..Wakikusikia wenye FOREX yao,Andaa majibu ya kutetea hoja yako
Naomba link mkuu... At lst nitaelewaKuna channel moja ya telegram ya kiswahili jamaa anafundisha free tu ni ww na bando lako unaweza icheki ukawa unapiga mapindi hapo ni simple na inaeleweka vizuri tu.
Nimewaona wanatokwa na povu kweli. Lakini ukweli lazima usemwe tu, labda tutawaokoa baadhi.Wakikusikia wenye FOREX yao,Andaa majibu ya kutetea hoja yako
we muache namcheki tu...watu wanapga mahela ye anawa beep Mi hata sishndani nao maana nimegundua raia wa FOREX ni wajanja wajanja haoooo kama visungura[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani atakimbia Jf akianza kutumiwa screenshot za kudownload mil 1 kwa week hapa asianze kuliaa..
Yani dadeki wanaishia kupata pesa za kuwatapeli tu wajinga wenginee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we muache namcheki tu...watu wanapga mahela ye anawa beep Mi hata sishndani nao maana nimegundua raia wa FOREX ni wajanja wajanja haoooo kama visungura
Acha mizevezo Ontario huyu hapa!Mkuu tusivunjiane heshima. Hakuna mahali nimekutusi. Ongea hoja, lete hoja.
Mimi nimeijua forex kabla Ontario hajaanza kufundisha watu. Kimsingi wewe ndio msukule kuliko hao unaowaita misukule. Hakuna anayedownload pesa, we work for it. Tunatumia akili na muda mwingi kwenye screen kuliko watu wa ofisi and we get paid for it.
Mi nina uhakika wa laki 2 na thelathini kila siku nitakayotrade and I trade thrice per week. Mi na wewe msukule ni nani?
Nina residual income nzuri kuliko wewe mpumbavu mmoja unaponda kitu usichokijua.
Kwa Ontario watu walilipa laki na 30 hata kama hujui kitu hiyo pesa imesharudi. Endelea kuwaza shit while we run the town
Yani dadeki wanaishia kupata pesa za kuwatapeli tu wajinga wenginee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo hapa ndio katapeli mtu?Acha mizevezo Ontario huyu hapa!
Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8
Salute! Nimefurahi sana kurudi tena JF baada ya kukatika kwa muda kiasi. Wengi mlinizoea kule 'Jamii Intelligence' na thread zangu za kusisimua za 'money hunters', na nilitoa ahadi ya kuwaonesha baadhi ya fursa za pesa ambazo wengi huzipuuza either kwa dharau ama kwa kutokuwa na taarifa sahihi...www.jamiiforums.com
hahahaha we jamaa nimecheka balaaNdo nishamaliza hata sina maneno mengi,maana kila mtu huyu anasifia huyu anaponda,anaesifia Yashamkuta ila anakwambia hakomi ndio life style yake(shauri lako),ana eponda yeye yashamkuta na amekoma Japo wote wanao Ponda nawaona ni kama STAKI NATAKA yani wanapondaaaaa halafu mwisho unamsikia ila FOREX ni real ni kukosa tu mentor mzuri sjui nini fyeke fyeke fyeke kibaoo.
Sasa mimi hata sisemi sana...ntabaki na kuuza vi tecno vyangu na vi itel nyie endeleeeni ila mnachokitafuta mtakipata nawambia Maana Hamkomi yani kwa jinsi nilivyoiona hii Forex kwa ambae hujaianza ni kama ka mdada ambacho hakajawahi ku sex sasa kakisha TOLEWA BKRA anapata maumivu haswaaaa ila pamoja na kuugulia maumivu utamskia Ila Tamuuuu hiyoooo [emoji38] [emoji38]
Sawa Forex ni Tamu endeleeni kupata Utamu ila mtapata mnachokitafuta.
OkNaomba link mkuu... At lst nitaelewa
Ndo nishamaliza hata sina maneno mengi,maana kila mtu huyu anasifia huyu anaponda,anaesifia Yashamkuta ila anakwambia hakomi ndio life style yake(shauri lako),ana eponda yeye yashamkuta na amekoma Japo wote wanao Ponda nawaona ni kama STAKI NATAKA yani wanapondaaaaa halafu mwisho unamsikia ila FOREX ni real ni kukosa tu mentor mzuri sjui nini fyeke fyeke fyeke kibaoo.
Sasa mimi hata sisemi sana...ntabaki na kuuza vi tecno vyangu na vi itel nyie endeleeeni ila mnachokitafuta mtakipata nawambia Maana Hamkomi yani kwa jinsi nilivyoiona hii Forex kwa ambae hujaianza ni kama ka mdada ambacho hakajawahi ku sex sasa kakisha TOLEWA BKRA anapata maumivu haswaaaa ila pamoja na kuugulia maumivu utamskia Ila Tamuuuu hiyoooo [emoji38] [emoji38]
Sawa Forex ni Tamu endeleeni kupata Utamu ila mtapata mnachokitafuta.
yupo insta huko anaendelea kupeta na kuonyesha meno nnje..hana habari na machozi ya watu
Hebu mkuu elezea utapeli unaofanyika kwenye forex. Mimi nataka nikualike ofisini kwangu pale Tanzanite Park uje unielekeze watu wanavyotapeliwa kama huwezi kueleza hapa. Ntakulipia usafiri na disturbance allowance.ukiwambia nionyeshe umefanyia nini hela ya FOREX anakujibu..."halafu iweje" yani hapo tu ndo wanaponchosha akili una mi dollar kibao ila kuitoa yote unaogopa ndo nn sasa..blalfull