Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,203
- 7,628
Ndo nishamaliza hata sina maneno mengi,maana kila mtu huyu anasifia huyu anaponda,anaesifia Yashamkuta ila anakwambia hakomi ndio life style yake(shauri lako),ana eponda yeye yashamkuta na amekoma Japo wote wanao Ponda nawaona ni kama STAKI NATAKA yani wanapondaaaaa halafu mwisho unamsikia ila FOREX ni real ni kukosa tu mentor mzuri sjui nini fyeke fyeke fyeke kibaoo.
Sasa mimi hata sisemi sana...ntabaki na kuuza vi tecno vyangu na vi itel nyie endeleeeni ila mnachokitafuta mtakipata nawambia Maana Hamkomi yani kwa jinsi nilivyoiona hii Forex kwa ambae hujaianza ni kama ka mdada ambacho hakajawahi ku sex sasa kakisha TOLEWA BKRA anapata maumivu haswaaaa ila pamoja na kuugulia maumivu utamskia Ila Tamuuuu hiyoooo 😆 😆
Sawa Forex ni Tamu endeleeni kupata Utamu ila mtapata mnachokitafuta.
Sasa mimi hata sisemi sana...ntabaki na kuuza vi tecno vyangu na vi itel nyie endeleeeni ila mnachokitafuta mtakipata nawambia Maana Hamkomi yani kwa jinsi nilivyoiona hii Forex kwa ambae hujaianza ni kama ka mdada ambacho hakajawahi ku sex sasa kakisha TOLEWA BKRA anapata maumivu haswaaaa ila pamoja na kuugulia maumivu utamskia Ila Tamuuuu hiyoooo 😆 😆
Sawa Forex ni Tamu endeleeni kupata Utamu ila mtapata mnachokitafuta.