Mnachukuliana vipi na marafiki wa aina hii?

Mnachukuliana vipi na marafiki wa aina hii?

Wewe tena mawazo yako ulipoyapeleka unajijuaga tu na akili zako
Ah wee wanaume akili ipo kwa mikichwa cha chini. Yaani huyo mrembo alete boy wake hapo awe anamgegeda alafu mrembo anakaa nje anasimia mapigo...mitego itaanza tarafibh mwishoe jamaa anapita na rafiki ya gelofrend wake kama sio kumkaribisha kabisa wapate kushare utamu wa rungu lake🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usimtunze mwanao umtunze mtu mzima?

Si akatunzwe kwao

Huyo alikuwa na wivu!!!+
Me nlikua nae mmoja amekaa kwangu Toka mwezi wa Kumi na moja mwaka Jana........ nyumba nlokua naish mwanzo ilikua vyumba viwili.....nkahamia kweny kimoja na sebule bado nko nae.....Kuna mtu nkaingia nae mahusiano.....eeh akaanza kua anamuomba Ela me sijui...mara anamwambia mambo yangu, huyo akawa kaniacha bila kujua sababu.....huyo Rfk alikua achangii chochote ndani me nmlishe, hadi pads nmnunulie.......nlivokuja kujua nkamwambia tu ukweli....ugomvi ulozuka hapo....oooh ww una roho mbaya, unitunzi me kama rafk ako, unamjali mtoto ako na Nini na Nini....... nkamwambia tu ondoka nyumbani kwangu......akaondoka....kwa hyo ukimwambia ondoka jiandae kwa bifu sisi wadada akil zetu ni ndogo sana!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Anapafahamu kwangu, anajua nakaa mwenyewe na alinambia itakua mda mfupi tu haitazidi ata wiki mbili.
sasa naona uvumilivu unanishinda, nmemiss uhuru wangu, kumwambia nashindwa na aliwahi nisaidia pia.

Niishi nae vipi,
Kwanini mali yako ikutese?

Mwambie wazi kuwa muda alioomba umeshaisha. Unahitaji uishi kwa uhuru wako uliouzoea mwanzo.

Mpe week awe ameshaondoka. Baada ya hapo utaondoka na vitu vyako kumwachia nyumba aendelee kukaa.

Akikasirika sawa, ila atleast utakuwa ushapata uhuru wako tena.
 
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?
Mimi Kama mwanaume naweza Seema hizi issue Zina changamoto saana

Mimi Kuna jamaa Ana familia Teena ya ndoa since 2009 zaidi ya miaka 12 ya ndoa kakosana na mke wake..mwezi June 2021 ( Ana miezi 8) kwangu alikosana na mke wake akaniomba aje kwangu kwa muda huwezi amini jamaa kasusa mke wake anaishi kwangu...

Hana hata mpango wa kuondoka kwangu..since hiyo June, (now Ana miezi 8 ) kwangu since June..hata mchumba hawezi kuja kwangu..nilishamwambia kuwa mchumba wangu tangu uje kwangu kashindwa kuja kwangu kwa ajili yako nikimuomba afanye mpango wa kitafuta chumba apange akiwa anafanya suruhu na mkewe japo ndoa Kama ishakufa

Jamaa akaniahidi December kuwa lazima atahama..(maana nimekuwa muungwana ) sikutaka kumfukuza..December xmass akasafiri kwao..akaniahidi akirudi tu anachukua chumba apange..huwezi amini alisafiri na kurudi kutoka mkoa kwa aibu akaja bira taarifa akasema Kuna hela anategemea Kama milion 2 alivyopata hell hiyo akafanya Mambo yake Hadi Sasa yupo kwangu..hata Mimi ni muhanga..nishatia mbinu zote za kumutoa hasa indirect but no mtu flani anataka mpaka nimtamkia kuwa ondoka...hii hali in saana

Huwezi amini jamaa hela akipata ni kulewa na wanawake..ikiisha ndio anakumbuka kuhama...dunia ina changamoto saana...jamaa ni rafiki yangu wa olevel..but naona urafiki wangu na yeye itafika ufe maana nishavumilia vya kutosha..no mtu anayependa kitonga..maana nimeshindwa kuwa free with my private life

Nadhani atakuwa anapenda kuishi kwangu japo nipo single..bachelor life..Nina mchumba..compound nayoishi Ina Kila kitu ndani nyumba ipo full..so nachoona kwa huyo rafiki..anataka kuwa na maisha ya kuanza akiwa full furnished kitu ambacho hawezi..hata godoro Hana

Wadau wenye tabia za kitonga sio kabisa..mtu anakuja kwa nia ya kuomba two weeks..Kisha kutoka mpaka ugomvi
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Nilitumia hiyo mbinu kukimbiza mtu, nilimuita bebi akaja akakaa wiki, mbona mtu alihama.
Kuna watu hawapendi kujitegemea, huyo usipokuwa makini atazeekea hapo.
 
Ubinafsi...

Uliyoyazungumza ni vitu vya kawaida sana na yanazungumzika.... Ila wewe kuishi kinafiki ndio mtihani uliojipa...

Unapotoa msaada wowote tegemea mambo yako kubadilika kidogo..

Jikaze ataondoka tu.... Karma is real.... Je kipindi yeye anakusaidia kwake uliziona hizo kero.!???? au hadi uwe kwako ndio unaona kero?
 
Back
Top Bottom