Mikia mzigo umekata[emoji23][emoji23],mimi nasubiria mnada wa jengo kariakoo
simba bana mnafraisha ngao ya jamii mkidundwa, mwamedi anaaanza vijembe mnaanza kutafutana.
wenzenu yanga wako bize kujifua nyie mnapiga kampeni za ccm.
hakuna waasisi ambao walipambania simba au soka la Tanzania?
Muelimishe huyo. Si unajua wenye akili huko kwao ni wawili tu? Ahahahahaha!!!Kwa taarifa yako pesa hizo siyo kwa matumizi ya club..zinatolewa zote huko Muhimbili
ahmed anacheza na tisa.Ficha ujinga wako . Ahmed anacheza namba ngapi uwanjani?
Mmanina mashabiki wa Yanga mmefurugwa wallahi😂😅ahmed anacheza na tisa.
Mzigo upoMikia mzigo umekata[emoji23][emoji23],mimi nasubiria mnada wa jengo kariakoo
Hao ni Mbumbumbu kwa mujibu wa Rage...yaani wameandika majina then wanasema Jezi ni ya mwenye jina...Hizi jezi zinakuwa na saini ya wenyewe ama ni majina tu imeishia hapo?
Ha ha ha,Hao ni Mbumbumbu kwa mujibu wa Rage...yaani wameandika majina then wanasema Jezi ni ya mwenye jina...
Mwenyejina hiyo jezi haijawahi kumfikia, wala kuiona achilia mbali kuivaa..
Ni Uchawa na Uchawi tu ...
Mwakani sio mbali mbona, we subiri uone Mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Basi wale kwenye familia yao wenye akili ni wawili tu wataiga.
Kwani huyo Ahmed Ally anacheza namba ngapi pale Msimbazi?? Timu ipo kambi Ulaya huko, hapa imebaki Menejimenti tu ambayo ndiyo inafanya shughuli zote hizo.simba bana mnafraisha ngao ya jamii mkidundwa, mwamedi anaaanza vijembe mnaanza kutafutana.
wenzenu yanga wako bize kujifua nyie mnapiga kampeni za ccm.
hakuna waasisi ambao walipambania simba au soka la Tanzania?
Kwani huyo Ahmed Ally anacheza namba ngapi pale Msimbazi?? Timu ipo kambi Ulaya huko, hapa imebaki Menejimenti tu ambayo ndiyo inafanya shughuli zote hizo.
Huna akili, kwahiyo unataka na Menejimenti nayo iende ikajifue pre season?? Hivi una ubongo kweli wewe??unajua maana ya team? au ukishakuwa na mb nikutype tuu.
T - Togetherunajua maana ya team? au ukishakuwa na mb nikutype tuu.
Huna akili, kwahiyo unataka na Menejimenti nayo iende ikajifue pre season?? Hivi una ubongo kweli wewe??
T - Together
E - Everyone
A - Achieves
M - More
Kila mtu ashike jambo lake kisawasawa kuhakikisha pre determined goal inafikiwa effectively.
Amini tu ...ni mchezo wa kujitekenya na kucheka mwenyewe ...[emoji1787]Ha ha ha,
Lakini kama mwenye jina mwenyewe ameiona mitandaoni na hajapinga kwamba hiyo jezi sio yake basi acha tuendelee tu kuamini ni yake.